Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Kume kuwepo na matukio mbalimbali ya baadhi ya misafara ya viongozi kuzuiliwa na wananchi huku wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe toufautitofauti, wakilazimasha viongozi hao wazungumze nao juu ya kero mbalimbali zinazowakabili. Daadhi ya waliokwisha kukumbana na jambo hili ni Rais na waziri wake mkuu. Je hawa viongozi wana pata picha gani mambo haya yanapo wakumba?