Kwa siku mbili mfululizo, Jumamosi na leo Jumapili JK amekuwa akipita barabara ya Morogoro na msafara wa magari yapatayo 20, na kutusababishiea kero kubwa sisi watumiaji wa barabara hii. Naambiwa huwa anakwenda Chalinze. Hivi huyu Rais hawezi kutulia akafanya kazi za kulijenga hili taifa?