Akiwa ccm na cheo anapewaHivi komandoo mstaafu wa kuwa mwanachadema Ni kosa?
Akiwa ccm na cheo anapewaHivi komandoo mstaafu wa kuwa mwanachadema Ni kosa?
hawatakubali hata kama wanaionaWatapinga kwamba hakuna misafara kuelekea Iringa,wanatia huruma.Kupinga mikakati inayopangwa na wabobezi kama CDM lazima uwehuke maana wanamimina mipango chanya kama Join the Chain,A Million Challenge,na sasa Mwenyekiti yupo HURU moto unawaka kila kona.
Ukiwa upande wa HAKI hautateseka moyoni bali utajizatiti kuwa na hekima na uvumilivu zaidi.
Tutakuwepo japo kwa ulinziNa sisi BAVICHA vijana wa kiume tutakuwepo siku hii ya Wanawake Duniani, maana tunataka kumuona Kamanda Mwenyekiti wa Taifa Freeman Aikael Mbowe akiwa ktk shughuli yake ya kwanza ya kikazi ya kisiasa baada ya kutoka mahabusu.
Inapendeza sanaInafurahisha kiukweli
🤣🤣🤣waswahili mna manenoTiming ya kudeal na CHADEMA aliiweza Kikwete tu, hawa wengine wanaoamini katika matumizi ya nguvu wanajisumbua bure. Ni Sawa na limbwata analotengeneza mwanamke siku likiisha anakuwa kama kakata kamba.
Asante sana7 March 2022
BAWACHA KUUWASHA MOTO IRINGA, MSAFARA KUTOKA DAR KUELEKEA IRINGA WAWAVUTIA WATU
CCM haina uwezo wa kutatua changamoto, yenye uwezo ni serikali kupitia kodi tunazolipa wananchi wote bila kubaguliwa.Kwa hiyo hapo ndio Nchi inatikisika? 😄😄.
Shida ya Chadomo ni kuishi kwa hisia na kujifariji na likes za mitandaoni.
Wenzenu wanatatua changamoto za moja kwa moja za Wananchi nyie mnapiga selfie.
Mungu ibariki CHADEMA!Ikumbukwe kwamba ile Taasisi bora ya wakina Mama kwa sasa Barani Africa inayoitwa BAWACHA, inaadhimisha SIKU YA WANAWAKE DUNIANI mkoani Iringa, hapo ndio walipoamua kulifanya jambo hili.
Sasa habari kubwa ni jinsi barabara kutoka mikoa yote ya Tanzania zilivyochafuka Mabasi yaliyobeba Wamama wa Chadema, Hamasa ni kubwa mno! Hakika haya mambo yanashangaza sana.
Maneno matupu hayavunji mfupa, jioneeni wenyewe.
View attachment 2142214
View attachment 2142215
Hapa chinii ni Komandoo Mohamed Ling'wenya akiwa na Mke wake na wamama wengine akiwaaga wakielekea Iringa.
View attachment 2142233
Wachawi kutoka lumumba hii kitu inawauma Sana...nchi nzima ni misafara tu ya chadema...
Ongeza Makondaanayeiombea Chadema ife atakufa yeye mwenyewe
cc: jiwe
sabaya
Ongeza Ndugai piaOngeza Makonda
kweli nimeamini jina husadifu akili. 😴😴😴😴Kwa hiyo mimama yenye vitambi kupanda kosta na mabasi ya elfu 15 ndio mtikise nchi. Kweli MaCHADEMA wajinga. Haya wapelekeeni na kinga huko maana mamama ya MaCHADEMA yanajulikana Kwa uchu.
Kweli wewe ni fisi,maana sii kwa uhalo huuKwa hiyo mimama yenye vitambi kupanda kosta na mabasi ya elfu 15 ndio mtikise nchi. Kweli MaCHADEMA wajinga. Haya wapelekeeni na kinga huko maana mamama ya MaCHADEMA yanajulikana Kwa uchu.
sasa manashindaje uchaguzi- maana wasio na elimu na wanaoishi vijijini tuko wengi- wingi wetu ni kura nyingi na kura nyingi ni ushindi
Umeandika yaliyojaza moyo wako maana mpumbavu hunena kadri ya upumbavu wake.Kwa hiyo mimama yenye vitambi kupanda kosta na mabasi ya elfu 15 ndio mtikise nchi. Kweli MaCHADEMA wajinga. Haya wapelekeeni na kinga huko maana mamama ya MaCHADEMA yanajulikana Kwa uchu.
Thank God na Mama yako Ni mwana Bawacha na yuko Iringa nowKwa hiyo mimama yenye vitambi kupanda kosta na mabasi ya elfu 15 ndio mtikise nchi. Kweli MaCHADEMA wajinga. Haya wapelekeeni na kinga huko maana mamama ya MaCHADEMA yanajulikana Kwa uchu.