Huu ni wivuPesa za kukodisha mabasi wamepata wapi wakati hawana ruzuku?
Huu ni wivuPesa za kukodisha mabasi wamepata wapi wakati hawana ruzuku?
Ujumbe utatufikia bila shaka,hivyo vyombo vya habari kwa sasa impact yake imepungua sana.Sasa hivi habari tunapeana kupitia social media kama clubhouse,youtube,whatsapp ama facebook.Tatizo ni kwamba vyombo jipendekeza vya habari havitaonesha mkutano wala misafara.
Ruksa, mbona majenerali wa jeshi wanateuliwa ktk nafasi za chama cha kijani.Hivi komandoo mstaafu wa kuwa mwanachadema Ni kosa?
Idumu katiba ya chadema inayomweka ayatola adumu milele.Kidumu CHAMA CHETU CHADEMA!!! Adumu mwenyekiti wetu FREEMAN MBOWE!!!
Wanaume wa chadema hao.Na sisi BAVICHA vijana wa kiume tutakuwepo siku hii ya Wanawake Duniani, maana tunataka kumuona Kamanda Mwenyekiti wa Taifa Freeman Aikael Mbowe akiwa ktk shughuli yake ya kwanza ya kikazi ya kisiasa baada ya kutoka mahabusu.
Chadema ninavyokupenda nitakunywa sumu juu yako