Misaada mpaka uchaguzi mkuu?

m2020

JF-Expert Member
Jul 10, 2016
979
1,353
Ile misaada ya kujitolea damu, pesa na vyakula kwenye nyumba za ibada na taasisi za dini na kupanda daladala na kula kwa nama ntilie kutoka kwa 4U Movement na TeamL na boss lao kubwa imeishia wapi?

Au shida za wanyonge zimeisha mpaka uchaguzi mkuu tena?

Ikiwa vipi tuitishe uchaguzi 2017 wananchi wafaidike na zawadi na misaada.

Tusaidieni wale wenye uelewa.
 
Tumetoa msaada wa wahanga wa Bukoba serikali imepelekea kununua ndege sasa wewe unataka nini?


swissme
 
Ni vema mkuu "swiss yourself" kuendelea kuchangia jamii yetu ya kitanzania kwa style ileile ya kukusanya watu na kuwapa misaada badala ya kusubiri uchaguzi. Tusiwape serikali inayoenda kununua ndege.
 
Kwani chumvi, t shirt,kanga ,pombe,za mafisiem inaendelea kutolewa mpaka leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom