Kweli ukoloni bado upo ingawa uko kwa sura nyingine. Kwa sababu ya misaada tu Uingereza inazitaka nchi zinakula pesa zake ikiwemo Tanzani ikubali usenge na usagaji? Heko serikali ya Tanzania kwa kuitunishia misuli Uingereza, lakini mtaweza kila mahala ikiwa asilimia kadhaa ya bajeti yenu inategemea misaada?