mathcom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,396
- 518
Habari zenu wana jamii wenzangu ?
Katika matoleo mapya ya smart phones mfano (HTC, iPHONES, NOKIA LUMIA) n.k. zinatumia micro sim card
yaani SIM CARD ndogo kuliko ile standard size tuliyozoea!
Swali langu ni kwamba "Jee makampuni ya simu (tigo,voda,airtel and zantel) hapo Tanzania wanazo card za aina hiyo?"
Kama kuna mdau anaelewa au alishawahi kupatiwa huduma kama hiyo, naomba alipatie jibu!
Ahsanteni sana, nami nasubiri..
Katika matoleo mapya ya smart phones mfano (HTC, iPHONES, NOKIA LUMIA) n.k. zinatumia micro sim card
yaani SIM CARD ndogo kuliko ile standard size tuliyozoea!
Swali langu ni kwamba "Jee makampuni ya simu (tigo,voda,airtel and zantel) hapo Tanzania wanazo card za aina hiyo?"
Kama kuna mdau anaelewa au alishawahi kupatiwa huduma kama hiyo, naomba alipatie jibu!
Ahsanteni sana, nami nasubiri..