Omwami Nshomile
Senior Member
- Jan 26, 2015
- 132
- 28
Shikamoo wakubwa, hamjambo vijana?
Me nilifiwa na kaka yangu mwanajeshi tangu mwaka juzi, alikua akifanya kazi JKT Tabora. Baaada ya msiba tulipewa namba ya afsa moja wa jeshi hili ndo atatuelekeza jinsi ya kupata mirathi pamoja na pesa ziliko Benki kwenye account ya marehemu. Sasa yule afsa amegoma kutusaidia kwani tukipiga simu hapokei. Naomba msaada na maelekezo jinsi ya kushughulikia jambo hili.
Natanguliza shukulani zangu.
Me nilifiwa na kaka yangu mwanajeshi tangu mwaka juzi, alikua akifanya kazi JKT Tabora. Baaada ya msiba tulipewa namba ya afsa moja wa jeshi hili ndo atatuelekeza jinsi ya kupata mirathi pamoja na pesa ziliko Benki kwenye account ya marehemu. Sasa yule afsa amegoma kutusaidia kwani tukipiga simu hapokei. Naomba msaada na maelekezo jinsi ya kushughulikia jambo hili.
Natanguliza shukulani zangu.