mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
sifundishwi siungi mkono ugaidi alaf ikungi sio jimbo LA uchaguzi bali tunamajimbo mawil ya singida mashariki na magharibi ambalo ni baya zaidi
Kigoma Waziri Mkuu ana ziara kukagua miradi ya maendeleo na utekelezaji wa Ilani yule kijana wa Kibembe kutoka Bukavu 2020 ni mwisho kukalia viti Bungeni
Singida Mh Makamu wa Rais ziarani Singida kukagua utekelezaji wa Ilani pamoja na kuhamasisha maendeleo yule Vasco da Gama jimbo la Ikungi atalisikia masikioni 2020 tena alitakiwa alikose mapema mwezi uliopita baada ya kuanza maigizo Ulaya
BENARD KAMILIUS MEMBE ANATOSHA 2020Baada ya kuona uhamasishaji wa maendeleo katika Wilaya ya Ikungi ambayo wananchi waliifanyia mzaha wakampatia mtembezi kama Vasco da Gama kutoka chama duni cha siasa nchini sasa yaanza kuelewa siasa za maendeleo
Ukitaka kuelewa vizuri fuatilia ziara ya makamu wa Rais Mama Samia huko Singida
Tusikosee 2020, Mkuu wa Wilaya Mh Mtaturu akionesha nia atafaa maana anaijua Ikungi vizuri atashughulikia shida za wananchi vyema
Niweke angalizo matusi hayazuiliwi!
Kumbe huelewi tofauti ya Wilaya na Jimbo?Jimbo la Vasco da Gama
Hao wananchi kodi wanamlipa Tundu Lisu? Wewe kilaza hata elimu ya uraia huifahamu!! Uliambiwa mbunge ndiye anayejenga barabara, kuleta maji au kujenga mashule nk?Baada ya kuona uhamasishaji wa maendeleo katika Wilaya ya Ikungi ambayo wananchi waliifanyia mzaha wakampatia mtembezi kama Vasco da Gama kutoka chama duni cha siasa nchini sasa yaanza kuelewa siasa za maendeleo
Ukitaka kuelewa vizuri fuatilia ziara ya makamu wa Rais Mama Samia huko Singida
Tusikosee 2020, Mkuu wa Wilaya Mh Mtaturu akionesha nia atafaa maana anaijua Ikungi vizuri atashughulikia shida za wananchi vyema
Niweke angalizo matusi hayazuiliwi!
Ndio maana lissu huwa haongelei maendeleoKwa taarifa yako hakuna maendeleo yanaletwa na mbunge yoyote nchi hii. Bunge ni genge la kula hela za wananchi kisheria. Mfumo wa bunge letu unalifanya litii chochote atakacho rais aliye madarakani fullstop. Kama bunge litakuwa na muundo tofauti na huu hapo itaniingia akilini nikisikia mbunge analeta maendeleo. Kinyume na hapo ubunge hapa Tanzania ni cheo cha kuuzia sura.
Fedha za marehemu GadafBENARD KAMILIUS MEMBE ANATOSHA 2020
2020 NJIA NYEUPE KWENYE NYUMBA NYEUPEFedha za marehemu Gadaf
Baada ya kuona uhamasishaji wa maendeleo katika Wilaya ya Ikungi ambayo wananchi waliifanyia mzaha wakampatia mtembezi kama Vasco da Gama kutoka chama duni cha siasa nchini sasa yaanza kuelewa siasa za maendeleo
Ukitaka kuelewa vizuri fuatilia ziara ya makamu wa Rais Mama Samia huko Singida
Tusikosee 2020, Mkuu wa Wilaya Mh Mtaturu akionesha nia atafaa maana anaijua Ikungi vizuri atashughulikia shida za wananchi vyema
Niweke angalizo matusi hayazuiliwi!
ndivyo walivyojipanga na kanafiki fulani kanaitwa ka-kingu kale kabunge kanakojipendekeza kwa bwana mkubwa pale magogoni. Ni wanasiasa wanafiki wakitumia propaganda za kijinga na za kitoto wakitaka kuwaaminisha watu kwamba wanafaa lakini wapi. Kingu kwa mfano katika kutaka kujionesha kwa wananchi aliahidi kutoa bati kwa shule moja ambayo kata hiyo iko chini ya chadema kwa ajili ya kuezeka maabara illi itumike kwa ajili ya kupokea watoto wa kidato cha kwanza lakini alipofika na kukuta diwani ashapeleka bati pale hajatokea mpaka leo kwenda kuwaambia wananchi ni kwanini ameshindwa kutoa bati katika shule hiyo. Wilaya ya Ikungi ina siasa za kinafiki na uzandiki. Na hawa watu wawili mtaturu na Kingu ni marafiki.
KWA KOMENTI HII NADHANI NI KIPINDI MUAFAKA KUBADILI JINA NA KUWA JAHANAMU KABISA
Yametimia kabla 2020Baada ya kuona uhamasishaji wa maendeleo katika Wilaya ya Ikungi ambayo wananchi waliifanyia mzaha wakampatia mtembezi kama Vasco da Gama kutoka chama duni cha siasa nchini sasa yaanza kuelewa siasa za maendeleo
Ukitaka kuelewa vizuri fuatilia ziara ya makamu wa Rais Mama Samia huko Singida
Tusikosee 2020, Mkuu wa Wilaya Mh Mtaturu akionesha nia atafaa maana anaijua Ikungi vizuri atashughulikia shida za wananchi vyema
Niweke angalizo matusi hayazuiliwi!