mwana wa mtemi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 374
- 204
Baada ya kuona uhamasishaji wa maendeleo katika Wilaya ya Ikungi ambayo wananchi waliifanyia mzaha wakampatia mtembezi kama Vasco da Gama kutoka chama duni cha siasa nchini sasa yaanza kuelewa siasa za maendeleo
Ukitaka kuelewa vizuri fuatilia ziara ya makamu wa Rais Mama Samia huko Singida
Tusikosee 2020, Mkuu wa Wilaya Mh Mtaturu akionesha nia atafaa maana anaijua Ikungi vizuri atashughulikia shida za wananchi vyema
Niweke angalizo matusi hayazuiliwi!
Ukitaka kuelewa vizuri fuatilia ziara ya makamu wa Rais Mama Samia huko Singida
Tusikosee 2020, Mkuu wa Wilaya Mh Mtaturu akionesha nia atafaa maana anaijua Ikungi vizuri atashughulikia shida za wananchi vyema
Niweke angalizo matusi hayazuiliwi!