Miradi yote inayolisha Tanzania ilianzishwa na Nyerere kweli au si kweli?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,318
8,228
Nisaidieni majibu ya hili swali la kweli au sikweli? Nilikua kwenye test ya maarifa ya jamii nikakutana na hilo swali.

Miradi yote inayolisha Tanzania ilianzishwa na Nyerere kweli au si kweli?
 
Ingekuwa nafuu zaidi kuboresha miradi iliyopo kwa kufunga mota za kisasa zitumiazo maji kidogo umeme mwingi,pia kuondoa tope na mchanga hasa kipindi cha kiangazi Ili kuongeza kina
 
Dadeki ata akili za kawaida Tanzania ya 1961 ni sawa na 2021, kukosa kufikiri na ujuha mwingi viongozi au maraisa wamefanya mengi makubwa sema wa tz wanapenda sana socialism
 
Back
Top Bottom