Miradi mingi ya watumishi wa umma hufeli licha ya kuwa hodari ya kukopa kopa hela benki na kulalamika maisha magumu

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Watumishi wa umma wanakopa sana mabenki tofauti tofauti na taasisi mbalimbali za fedha kama saccos, finca na kwa watu binafsi.

Cha ajabu watu hawaogopi kuchukua mikopo maana huwa inawatafuna miaka nenda rudi.

95 % ya watumishi wa umma wanadaiwa na mabenki. Na ukiangalia miradi yao mingi huwa inafeli sana. Badala yake mtu anaanza kulalamika makato, mara maisha magumu n.k.

Ukiwa mtumishi wa umma ni lazima uchukue mkopo ?

Na wengi wanatamani sana Vits, passo, ist, allex nk …
 
Watumishi wa umma wanakopa sana mabenki tofauti tofauti na taasisi mbalimbali za fedha kama saccos, finca na kwa watu binafsi.

Cha ajabu watu hawaogopi kuchukua mikopo maana huwa inawatafuna miaka nenda rudi.

95 % ya watumishi wa umma wanadaiwa na mabenki. Na ukiangalia miradi yao mingi huwa inafeli sana. Badala yake mtu anaanza kulalamika makato, mara maisha magumu n.k.

Ukiwa mtumishi wa umma ni lazima uchukue mkopo ?

Na wengi wanatamani sana Vits, passo, ist, allex nk …
Hivi wanatamani ama wanahitaji?
 
Watumishi wengi hupigwa sana na wabia kwenye biashara zao kutokana na Usimamizi hafifu kwani muda mwingi wanakuwa kazini ama anaweza kuwa na Biashara nzuri imeshamiri lkn pindi anahama kikazi kazi ile hujifia, anasafiri kikazi pia anatoa mwanya kwa wasimamizi kumwibia mapato.
Kubwa kuliko yote ni WATUMISHI WA UMMA KUFANYA BIASHARA KWA KIFICHO mwajiri na Watumishi wenzake wasijue kuwa anamiliki biashara X ili kukwepa rungu la Ufisadi na kuandamwa na watu wa Kitengo. Hapo ndio patamu mara nyingi msimamizi wa Biashara huanza kupiga biti mmiliki halisi kuwa Ukiniingilia nitakulipua, ooooh kuanzia leo hii biashara sio yako kama hutaki nenda Mahakamani kwani Majina ya leseni tayari huwa ni feki. Mwisho wa siku ni kufilisika tuuu kwa Watumishi na kubakiwa na madeniiiiii
 
Watumishi wa umma wanakopa sana mabenki tofauti tofauti na taasisi mbalimbali za fedha kama saccos, finca na kwa watu binafsi.

Cha ajabu watu hawaogopi kuchukua mikopo maana huwa inawatafuna miaka nenda rudi.

95 % ya watumishi wa umma wanadaiwa na mabenki. Na ukiangalia miradi yao mingi huwa inafeli sana. Badala yake mtu anaanza kulalamika makato, mara maisha magumu n.k.

Ukiwa mtumishi wa umma ni lazima uchukue mkopo ?

Na wengi wanatamani sana Vits, passo, ist, allex nk …
unawasaidia kusikilizia maumivu au wewe ni mmoja wao ???
 
Kuna mwalimu ndugu yangu alichukua mkopo wa miaka mitatu October 2016 ,Mungu akopenda atamalizia mkopo wake mwaka huu October

Alikopa million 8 ili afunge ndoa ,na kulipa mahari vizuri
 
Watumishi wa umma wanakopa sana mabenki tofauti tofauti na taasisi mbalimbali za fedha kama saccos, finca na kwa watu binafsi.

Cha ajabu watu hawaogopi kuchukua mikopo maana huwa inawatafuna miaka nenda rudi.

95 % ya watumishi wa umma wanadaiwa na mabenki. Na ukiangalia miradi yao mingi huwa inafeli sana. Badala yake mtu anaanza kulalamika makato, mara maisha magumu n.k.

Ukiwa mtumishi wa umma ni lazima uchukue mkopo ?

Na wengi wanatamani sana Vits, passo, ist, allex nk …
Mimi leo pia nimetoka kuomba mkopo, maisha yetu hayakuhusu, izo ndo akili zetu, kopa, kunywa kula bata, hadi mzigo ukate afu unatafuta top up tena maisha yanaenda hadi unastaafu then after few years unajifia zako kimya.
 
Acheni kupanga matumizi ya pesa za wenzenu tafuteni zenu maana hamuwasaidii kulipa hiyo mikopo wala hamuwasaidii kazi zao pambaneni na shida zenu ili mje na nyie mkope
 
Miradi yao mingi ya hovyo, kununua daladala tax kujenga bar, kumiliki duka la nguo, kufuga kuku, duka la rejareja yaani tabu tupu, na ukitaka ukosane na kakayako mshauri anunue coaster au tata ndo undugu uko njiani kufa
 
Back
Top Bottom