Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #81
Hivi kwanini unapenda kufabricate maneno ili ya fit unachoamini?Mimi naweza kununua hisa,matter of fact ninazo hisa na zinaniletea faida kiasi fulani.Ninaweza kununua hisa kadhaa kama NMB itawekwa DSE...I can easily do that....na ninayo nafasi hiyo kama watu wengine walivyo na nafasi hiyo
Unachokwepa kukubali ni kuwa asilimia nyingi ya watanzania hawana uwezo,wala information kuhusu ununuzi wa hisa au uwekezaji kwenye haya mashirika.I can say 90% hawana uwezo wa kufanya hivyo.Sasa ndugu yangu kwanini una act kama hujui hili?Au unataka tu kupoteza muda kwa kupindisha lugha?....ukisema watanzania wana hali mbaya kiuchumi,it doesn't neccessarily mean kila mtanzania ana hali mbaya kiuchumi.
You are better than that,acha hizo lugha tata mkuu.
hapana miye napenda mtu ajaribu kusema anachomaanisha; ukisema "asilimia nyingi" nayo ni neno lenye maana. Kuwekeza si lazima iwe hisa na kwenye posti zako za kuwakandia Watanzania ulizungumzia "uwezo" bila kufafanua. Unapowakandia Watanzania kwa ujumla wao - kama ulivyofanya - na wewe unajijumuisha unless unatengeneza exception. Ni lazima uwe tayari kukwepa internal contradictions. Jambo hilo ni muhimu ili tujue tunazungumzia kitu kile kile, kwa mfano sasa najua ulikuwa unamaanisha kununua hisa, lakini mwanzoni hukusema miye ningejuaje wakati umesema Watanzania hawana "uwezo" wa uwekezaji?