kichoroba89
Senior Member
- Oct 3, 2019
- 197
- 57
Kama Rais MAGUFULI alivyosema hapa kazi tu,ni hakika,Rais Magufuli ni dhahiri kachapa kazi kama alivyoahidi hadi kapewa jina la Tingatinga yaani mtu wa kazi hadi baadhi ya wapigaji wakamuogopa,kuna miradi mitano mikubwa inayofanywa na serikali ya Awamu ya Tano ambayo ni kama ifuatavyo?
Barabara za juu(FLY OVER),2016 Rais alizindua Barabara ya makutano ya Tazara na imekamilika 2018,Ipo ya Ubungo inayotarajiwa kukamilika 2020.
Bomba la mafuta ghafi (Hoima uganda hadi Chongoleani Tanzania,mradi unatarajiwa kukamilika 2020).Kufufua shirika la Ndege Tanzania (AIR TANZANIA)(ATCL).
Kuimarisha sekta ya Utalii,Mradi mkubwa wa Umeme (Kinyerezi 1 na 2).Miradi yote ina lengo moja tu kubwa kuifanya Tanzania kuwa Nchi ya Viwanda,Viwanda huhitaji manpower kubwa hivyo ajira nyingi zitapatikana kupitia Viwanda
MUNGU AZIDI KUMBARIKI RAIS MAGUFULI
Barabara za juu(FLY OVER),2016 Rais alizindua Barabara ya makutano ya Tazara na imekamilika 2018,Ipo ya Ubungo inayotarajiwa kukamilika 2020.
Bomba la mafuta ghafi (Hoima uganda hadi Chongoleani Tanzania,mradi unatarajiwa kukamilika 2020).Kufufua shirika la Ndege Tanzania (AIR TANZANIA)(ATCL).
Kuimarisha sekta ya Utalii,Mradi mkubwa wa Umeme (Kinyerezi 1 na 2).Miradi yote ina lengo moja tu kubwa kuifanya Tanzania kuwa Nchi ya Viwanda,Viwanda huhitaji manpower kubwa hivyo ajira nyingi zitapatikana kupitia Viwanda
MUNGU AZIDI KUMBARIKI RAIS MAGUFULI