Miradi iliyoachwa na Hayati Dkt. Magufuli yawatesa mafisadi

Kumbuka upembuzi yakinifu na mpango wa mradi ulianza kipindi Cha JK.

Kwa hiyo kila mtu anastahili pongezi
Jk anastahili pongezi hipi,kama sio ujasiri wa Magufuri,kisingelifanyika chochote,Jk alikuwa ameisha kimbilia bandali ya Bagamoyo, kuwapa Wachina na Warabu,ili kuuwaa bandari ya Dar.Jk alikuwa janga kwa Taifa hili
 
Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?

kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!

Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo

Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo

Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Hahahahaa basi Kaka, basi ndugu yangu shusha pumzi. Wasamehe usijekuta ukaongela na mambo y abarabara kupunguzwa upana.....
 
Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?

kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!

Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo

Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo

Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Pole sana hapa
Watanzania wa Leo sio wale wa zama za mawe
 
Tumetulia hatutaki kumsema Marehemu vibaya
Taa.hira kweli wew, umseme JPM kwa lipi? watanzania tunamfahamu na tuliridhika nae, yeyote atayeenda kinyume na hayo JPM aloyaanzisha atajuta, msijidanganye pale mnapomtukana mitandaoni tumekaa kimya basi mkaona nyie ndo watanzania sana, the majority tupo tunawacheki tu.
 
Uzalendo ni Pamoja nakuwa na uchungu wa pesa ya wananchi ambayo selikal imeahawekeza

Isijetokea hataaaa kuhairisha mradi wa bwawa
 
Wewe umeanza vizuri kuwaeleza mafisadi wanaotaka kuitupilia mbali maproject ya Mgufuli..bila Shaka mafisadi hao wako serikalini wakiongozwa na mkuu wa machief..
Nilikuwa nimeanza kukuelewa lakini umeacha ghafla maelezo hayo ukarukia kwa Tundu Lissu..tangu lini Lissu akasimimamia project za Magufuli?
 
Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?

kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!

Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo

Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo

Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Acha uongo. Yote hayo ndio nini maana tunawajua kwa uzushi. Mngekua na shutuma ya ufisadi wa kweli kwa magufuli mungebandika matangazo na ushahidi duniani hadi mbinguni. Mlaaniwe wote mliyomsema vibaya magufuli.
 
Wewe umeanza vizuri kuwaeleza mafisadi wanaotaka kuitupilia mbali maproject ya Mgufuli..bila Shaka mafisadi hao wako serikalini wakiongozwa na mkuu wa machief..
Nilikuwa nimeanza kukuelewa lakini umeacha ghafla maelezo hayo ukarukia kwa Tundu Lissu..tangu lini Lissu akasimimamia project za Magufuli?
Mama ndio ataumiza project za magufuli. Anajipitishapitisha kuwaringishia wenzake urais badala ya kusimamia vita dhidi ya ufisadi na uzembe. Utafikiri kama vile rais mwanamke inaongeza uchumi wa watu.
 
Nchi imetulia kwa sababu mtu mmoja mshamba mwenye akili ndogo tu ameondoka
Uwezo huwa unajieleza huwa hailazimishwi kuonyesha watu kwamba una uwezo
Wenye akili huwa wanafanya mambo extra na kuacha mambo waliofanya yajisemee yenyewe hii ni moja ya Tambo za wenye uwezo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nchi imetulia kwa sababu mfuatiliaji hamna sasa hivi! We iba, kula rushwa fanya lolote ila usibambwe tu na mwajiri mkuu! Hamna kufuatiliana awamu hii!

So watu ni kama wanataka ku recover kwenye ukata wanajiandikia ma per diem na mavikao! Wanajichotea hela sababu hamna wa kuhoji! Nchi ipo kwenye Auto-Pilot mode!
 
Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?

kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!

Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo

Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo

Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Mkuu mbona unateseka sana???
 
Wewe umeanza vizuri kuwaeleza mafisadi wanaotaka kuitupilia mbali maproject ya Mgufuli..bila Shaka mafisadi hao wako serikalini wakiongozwa na mkuu wa machief..
Nilikuwa nimeanza kukuelewa lakini umeacha ghafla maelezo hayo ukarukia kwa Tundu Lissu..tangu lini Lissu akasimimamia project za Magufuli?
Mkuu magamba wanaweweseka na hawajui wakitakacho. miradi yote mikubwa ilikuwa imeshasimama wakati wa mwendazake wakandarasi wakidai malipo yao hili hawalisemi TULILIONA! Na huenda ni miongoni mwa visababishi vya msongo vilivyopelekea umeme kukata. Anyway wamelipwa na kwa tozo tunalipia mambo yanaenda na watu hawaporwi kwa mabavu kwenye akaunti zao...
 
Mkuu magamba wanaweweseka na hawajui wakitakacho. miradi yote mikubwa ilikuwa imeshasimama wakati wa mwendazake wakandarasi wakidai malipo yao hili hawalisemi TULILIONA! Na huenda ni miongoni mwa visababishi vya msongo vilivyopelekea umeme kukata. Anyway wamelipwa na kwa tozo tunalipia mambo yanaenda na watu hawaporwi kwa mabavu kwenye akaunti zao...
Timu gaidi mko vizuri
 
Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?

kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!

Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo

Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo

Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Acha uzushi wewe. Mngekua na kashfa ya kweli dhidi ya magufuli nyie fisadi mngeacha awapige za usoni bila majibu. Mngemsema kwa ushahidi kwa kelele hadi mbingu zifunguke.
 
Acha uzushi wewe. Mngekua na kashfa ya kweli dhidi ya magufuli nyie fisadi mngeacha awapige za usoni bila majibu. Mngemsema kwa ushahidi kwa kelele hadi mbingu zifunguke.
Hawana ushahidi hao
 
Mafisadi wanahaha kila kona jinsi ya kujinasua na hii miradi ya matrilioni iliachwa na Magufuli na ambayo inaonwa na wananchi kama kipimo cha utendaji kazi wa serikali ya sasa. Bila kukamilika kwa hiyo miradi wananchi hawataielewa hiyo serikali.

Mafisadi wanajiuliza wauache vipi mradi wa bwawa la Nyerere ili wakimbilie kwenye gesi?

Mafisadi wanajiuliza wamzuie vipi kandarasi anayechimba bandari ya Dar ili wakimbilie kusaini bandari ya Bagamoyo?

Pia makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lisu ameshauriwa kama mtu mzima aombe msamaha kwa watanzania kwani mtu mzima akivuliwa nguo huchutama na siyo kukimbia uchi.

Ni miaka sita sasa tangu Tundu Lisu aitabirie Tanzania mabaya ikiwemo kushitakiwa MIGA , ndege kukamatwa, uchumi kufilisika, kunyimwa misaada mbalimbali. Mpaka sasa hakuna hata kitu kimoja kilichotabiriwa na Lisu kilichotimia maaana yake aliwadanaganya watanzania, yani licha ya kusoma kwa kodi za watanzania yeye anakuja kufanya kazi ya kuwadanganya watanzania!

Kinyume na utabiri wa Lisu, Tanzania ya sasa imeingia uchumi wa kati, hatujashitakiwa MIGA na viwanda vya kuchenjua dhahabu vimejengwa Mwanza. Mapato ya madini yamepanda kutoka billioni 100 hadi billion 500, ndege hazikamatwi na watanzania ni wamoja zaidi kinyume na utabiri wake.

Baada ya kuona aibu Tundu Lissu na Lema badala ya kuwaomba msamaha Watanzania wao wamekimbilia Ulaya kwenda kulishwa bure na wazungu.

Lema na Lissu rudini nyumbani muwaombe msamaha Watanzania muanze kuishi kwa jasho lenu kwa kufanya kazi na siyo kulelewa.
Mtu ameua watu.
Amepora korosho za watu
Amejiuzia nyumba za umma
Amenunua wapinzani
Àmepandisha mankato ya mikopo 8%-15% elimu ya juu.
Halijapandisha madaraja ya watumishi.
We bado unalisifia
Kalifufue uzikwe wewe
 
Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?

kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!

Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo

Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo

Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Kiongosi tuletee hii hata inbox
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom