Miradi ambayo nchi za Afrika zingefanya ili kuondoa utegemezi

No kuwa kuwa kubali wakoloni WA Ulaya kuliko WA bars Asia (zimwi likujualo Hali.....)
 
Africa imekosa kitu kimoja kikubwa
RASILIMALI AKILI
Wewe kijana una akili sana sana.
Nimeipenda hii statement fupi, nyeupe,na imejitosheleza. ime kaa .....vizuri, utanifaa kwenye cabinet yangu, vuta msuli

Sasa ukitandaza reli A frica nzima wakati wataalamu huna wakuitunza na kuiendeleza itadumu kweli?. labda tuvumbue yetu wenyewe itakayo wa surprise wazungu eg reli ya mianzi.ndege za kokoto zisizosababisha ajali, ambazo hazitumii mafuta zenye uwezo wa kubeba tani mia moja pia zenye supersonic speed. kwakweli hapo watatutamani sana........ila kwa vilaza wengi weusi watasema kirahisi tu Haiwedhekani bhana. Watu sampuli hizi hao ndo rahisi kurubuniwa na kuzipinga serikali zao kwa mtutu wa bunduki......watahakikisha reli hazijengwi.....kama yaliyotokea Libya.




Wa-Libya wengi hawakutaka yatokee yaliyotokea nchini mwao ila sasa vibaraka !!!!! eee bwanaee..But ushindi mzuri katika mapambano yeyote yale Duniani hutanguliwa na kafara ya damu,, bila ncha ya upanga huwezi pata amani ya kutembea,kufanya Biashara,kufungua Bank,kufanya soko la pamoja, utakavyo barani mwetu humu, na adui yetu akafurahia tu...kitu kizuri kuliko vyote ni kumjua kwa undani sana adui yetu anaye tufanya tuwe kama tulivyo.....pia tuwe na nguvu ya musuli wa kumdhibiti au pia kumpiga adui yako muda wowote ule inapobidi kufanya hivyo, na ili tumdhoofishe kia aina fulani hivi,ni tumtengenezee njaa, kupitia vita ya wao kwa wao, isiyoisha.....Hapo sasa Africa tutafanikiwa kutengeneza miundo mbinu yetu wenyewe. na Biashara zetu................


Kwa muktadha huo. raslimali watu yetu tutakayo anza nayo ilenge.kwenye technologia za mapambano.ya hali na Mali dhidi ya adui wetu wa sasa, Na mapambano haya yafanyike katika nyanja kuu nne;;;

(1) K-isiasa.
(2) Ki-uchumi.
(3) Ki- technologia.
(4)Ki-utamaduni.

Nasema hivo kwa sababu tutafanikiwa kuweka wigo mpana kwa adui kupenya kirahisi miongoni mwetu, na kurubuni watu dhaifu. hata wale wachache yaani rasilimali watu tutakao wapata ambao wako tayari kujiongeza kwa manufaa yetu ya Africa. either wachukuliwe na maadui au wauawe kirahisi tu. kama wale Wataalamu wa Nuclear wa Iran walivouawa na waendesha pikipiki kirahisi tu. sababu tu walikataa kurubuniwa na Israel eti waachane na mipango yao ya kurutubisha madini ya Uranium.pia wasijiusishe na vinu vya Nuclear vya serikali ya kidikteta ya Iran ............na hata wale watakao chukuliwa na maadui watapumbazwa kiakili watakaa dormant tu.Kamwe hawatapewa nyenzo muhimu za kujiendeleza kiutafiti kama wazungu. sifa isije Barani Africa..... cha muhimu kabisa is to know why are we like the way we are.....
 
Duniani hakuna watu wenye Akili nyingi kama Wa-Africa Weusi!!! ila sasa wamedumazwa ki saikolojia, wamepuuzwa, wanakejeliwa kuwa hawawezi,zaidi ya kucheza ngoma za kiutamaduni......Babu zetu walifanya makubwa kulee Misri ya kale bhana weee!.
Ancienty Egypt was hot cake by then.huwezi kuonekan umeendelea kama hujawahi fika Egypt.huwezi kuitwa msomi bila kusomea Egypt.


Wasomi maarufu kama; Aristotle. Dalton, Alexander the Great (huyu jemedari alikuwa shoga la kutupwa kutokana na misimamo ya miungu ya olympial siyo Misri,mpakaleo sehemu alizopita zote zinasakamwa na jinamizi la ushoga chunguza. Basi bwana huyu alipata ma-ujanja janja ya kutawala Dunia na Military srategic technique ambazo hazikuwahi kutumiwa na jeshi lolote Duniani kwa wakati huo hapa hapa Misri) kwa hiyo hawa wote na wengine wengi walisomea kabisa kwa babu zetu hapo Misri.


Weupe kwa taarifa yenu walipata akili ya kujenga Ulaya ya leo pale pale Egypt. Walianza pole pole kwa ku-omba omba nafasi za kujiendeleza kielimu. kimaisha...wakapewa hizo nafasi, kwa kukaa kwao pale Misri wakajenga mazoea na watawala wa wakati huo weusi ni wapole. wana huruma sana wanajali kama wabongo vile na wengine wakapewa nafasi za uongozi pamoja na kuoleana.na viwanja wakapewa wakajenga wakalima mashamba makubwa tu na kupeleka mazo ya chakula na biashara Ulaya.

Kuoa au kuolewa na Mwafrica ilikuwa ni kupanda daraja la juu kabisa kimaisha.... kimbembe ni pale walipotokea machotara wa kizungu (mullattoes) .wakishirikiana na baadhi ya vibwanyenye vya ki-Afrika katika tawala hizo walijenga tabia fulani hivi ya weusi kumiliki watumwa (weusi wenzao) na hawa weupe waka adapt ile tabia ya umilikaji watumwa wakidhani ndo imefanya Misri kufika hapo ilipo kuchumi.walitamani sana ulaya iwe kama Misri hasa Alexander the great...ila sasa katika kutumikishwa weupe walitumikishwa kidogo mno.kwa sababu walikuwa legelege zaidi kuliko Wa-Afrika na kazi za sulubu hawakuziweza mfano mmoja walikuwa wakienda kufanya kazi za shamba Jua tu lilitosha kuwafanya wazimie vya kutosha kama nzi wanavozimia kwa baridi. kutokana na hii hali ya Mwafrika kudunishwa kitumwa wakaona hali hii yaweza kuwageukia wao pia, ambapo hali ingekuwa mbaya zaidi. ,....wakafikiri wajenge mkakati wa kuendeleza vizazi vyao na kupelekea kujenga chuki ya kufa mtu dhidi ya weusi wenye nguvu........"

Mpaka leo navo ongea na wewe.... chuki bado inaendelea na mojawapo walilolifanyia mkakati ni wewe mweusi kusahau kabisaaa kuwa asili yako ni Misri. so long as........ wana madaraka.eeehee!!!! ;''''''''walihakikisha Maktaba zooote za ki-falme za Misri zina hamia Ulaya.na vyombo vyote kitamaduni wa Kiafrika vikatupwa baharini matani kwa matani. na vingine vikateketezwa kwa moto. sanamu za pharaoh's zikapigwa mabomu hazikuvunjika wala kuteketea. chizi mmoja hivi anaitwa Napoleon akazipiga risasi usawa wa mdomo na pua ili kuondoa ile pua pana na lips ya ki Afrika. lakini wapi. sikumoja utafika hapa Misri utajionea mwenyewe. tembea uone mambo.mnamo karne ya 7AD, Historia ya mweusi ikafungwa rasmi.Mesopotamia ya kale kwa nguvu ya vita. na wana tamani Egypt iwe Asia. @@@@@@@@ eti middle east kweli? jamani.

Haya na kule Babylon nako je? kwa babu yetu king Nimrod? unajua nini kilitokea? waswahili wale walikuwa level gani ya maendeleo?Hivi majuzi tu wapiganaji washenzi ISIS waarabu walivunjavunja kumbukumbu ya vifaa alivo tumia sababu ya wivu dhidi ya wa-AFRIKA. eti weusi wataringa na kujidai.

Mayani nao je ?
yaaani natamani kulia kabisaaaaa!!!!!!!!!!! naomba kubembelezwa nisilie........
 
Duniani hakuna watu wenye Akili nyingi kama Wa-Africa Weusi!!! ila sasa wamedumazwa ki saikolojia, wamepuuzwa, wanakejeliwa kuwa hawawezi,zaidi ya kucheza ngoma za kiutamaduni......Babu zetu walifanya makubwa kulee Misri ya kale bhana weee!.
Ancienty Egypt was hot cake by then.huwezi kuonekan umeendelea kama hujawahi fika Egypt.huwezi kuitwa msomi bila kusomea Egypt.


Wasomi maarufu kama; Aristotle. Dalton, Alexander the Great (huyu jemedari alikuwa shoga la kutupwa kutokana na misimamo ya miungu ya olympial siyo Misri,mpakaleo sehemu alizopita zote zinasakamwa na jinamizi la ushoga chunguza. Basi bwana huyu alipata ma-ujanja janja ya kutawala Dunia na Military srategic technique ambazo hazikuwahi kutumiwa na jeshi lolote Duniani kwa wakati huo hapa hapa Misri) kwa hiyo hawa wote na wengine wengi walisomea kabisa kwa babu zetu hapo Misri.


Weupe kwa taarifa yenu walipata akili ya kujenga Ulaya ya leo pale pale Egypt. Walianza pole pole kwa ku-omba omba nafasi za kujiendeleza kielimu. kimaisha...wakapewa hizo nafasi, kwa kukaa kwao pale Misri wakajenga mazoea na watawala wa wakati huo weusi ni wapole. wana huruma sana wanajali kama wabongo vile na wengine wakapewa nafasi za uongozi pamoja na kuoleana.na viwanja wakapewa wakajenga wakalima mashamba makubwa tu na kupeleka mazo ya chakula na biashara Ulaya.

Kuoa au kuolewa na Mwafrica ilikuwa ni kupanda daraja la juu kabisa kimaisha.... kimbembe ni pale walipotokea machotara wa kizungu (mullattoes) .wakishirikiana na baadhi ya vibwanyenye vya ki-Afrika katika tawala hizo walijenga tabia fulani hivi ya weusi kumiliki watumwa (weusi wenzao) na hawa weupe waka adapt ile tabia ya umilikaji watumwa wakidhani ndo imefanya Misri kufika hapo ilipo kuchumi.walitamani sana ulaya iwe kama Misri hasa Alexander the great...ila sasa katika kutumikishwa weupe walitumikishwa kidogo mno.kwa sababu walikuwa legelege zaidi kuliko Wa-Afrika na kazi za sulubu hawakuziweza mfano mmoja walikuwa wakienda kufanya kazi za shamba Jua tu lilitosha kuwafanya wazimie vya kutosha kama nzi wanavozimia kwa baridi. kutokana na hii hali ya Mwafrika kudunishwa kitumwa wakaona hali hii yaweza kuwageukia wao pia, ambapo hali ingekuwa mbaya zaidi. ,....wakafikiri wajenge mkakati wa kuendeleza vizazi vyao na kupelekea kujenga chuki ya kufa mtu dhidi ya weusi wenye nguvu........"

Mpaka leo navo ongea na wewe.... chuki bado inaendelea na mojawapo walilolifanyia mkakati ni wewe mweusi kusahau kabisaaa kuwa asili yako ni Misri. so long as........ wana madaraka.eeehee!!!! ;''''''''walihakikisha Maktaba zooote za ki-falme za Misri zina hamia Ulaya.na vyombo vyote kitamaduni wa Kiafrika vikatupwa baharini matani kwa matani. na vingine vikateketezwa kwa moto. sanamu za pharaoh's zikapigwa mabomu hazikuvunjika wala kuteketea. chizi mmoja hivi anaitwa Napoleon akazipiga risasi usawa wa mdomo na pua ili kuondoa ile pua pana na lips ya ki Afrika. lakini wapi. sikumoja utafika hapa Misri utajionea mwenyewe. tembea uone mambo.mnamo karne ya 7AD, Historia ya mweusi ikafungwa rasmi.Mesopotamia ya kale kwa nguvu ya vita. na wana tamani Egypt iwe Asia. @@@@@@@@ eti middle east kweli? jamani.

Haya na kule Babylon nako je? kwa babu yetu king Nimrod? unajua nini kilitokea? waswahili wale walikuwa level gani ya maendeleo?Hivi majuzi tu wapiganaji washenzi ISIS waarabu walivunjavunja kumbukumbu ya vifaa alivo tumia sababu ya wivu dhidi ya wa-AFRIKA. eti weusi wataringa na kujidai.

Mayani nao je ?
yaaani natamani kulia kabisaaaaa!!!!!!!!!!! naomba kubembelezwa nisilie........

Mkuu naomba kuuliza wa misri ni waafrika weusi??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
tunajiduwaza kwa kujiaminisha tuna akili,, watu siku nzima wanapoteza mbs internet kufatilia nani kafanya nini,wao wazungu wanawaza wapige hatua kwa namna ipi?, tunajiduwaza kua tuna akili but we merely theoratical , black people tunajiduwaza na luxurious life na kupenda vitonga ,,hatupendi kutoka jasho au kujitesa,,,na wadada ndo wametuharibu kabisa na u cheap wao wa kupenda magari so na sisi tukipata vihela kidogo tunakimbilia kununua vi ist ili upate chance ya kubeba those cheap african girls na kusahau kua kuna makubwa ya kufanya kuliko hata hizo vitu vidogo tunavo babaishwa navyo daaaah,,, sisi tunarudishana nyuma kwa upumbavu wetu wenyewe.
 
Hapakua na haja ya kuwa na nchi zaidi ya moja ndani ya Africa.
Tatizo viongozi wetu wana uchu wa madaraka.
Kila mmoja anataka kusujudiwa
 
Mkuu naomba kuuliza wa misri ni waafrika weusi??


Sent from my iPhone using JamiiForums
Misri ya kale (ancient Egypt) ambao mabaki yao ndo waafrika kusini ya jangwa la Sahara. wamedunishwa kwisha kazi hii ikiwa ni pamoja na wewe kama siyo Mu-Arab.....
 
Wa =A frica wengi wana akili sana wachache ni majinga jinga tu. ambayo yanaona tuna jiduwaza. hayajiamini mpka Yesu arudi. kwanza kujiamini ni hatua moja mbele. kuchukua mademu ni haki yao wachukuliwe ili watoto wazaliwe na wanaozaliwa wanaweza kuwa na akili nzuri kuliko wewe. kuiendesha leo Vitz kwenye barabara za bongo kuna watu walijiamini, walitoa kafara ya kufa mtu ili wewe uishi.... ila kuna wazee wajinga kufikiri wakawananga.....ndo kizazi hicho hapo juu bado kipo. vizuri jiongeze basi japo ujiamini kidogooo tu. bado tu unaamini mnajiduwaza no-sense!
 
tunajiduwaza kwa kujiaminisha tuna akili,, watu siku nzima wanapoteza mbs internet kufatilia nani kafanya nini,wao wazungu wanawaza wapige hatua kwa namna ipi?, tunajiduwaza kua tuna akili but we merely theoratical , black people tunajiduwaza na luxurious life na kupenda vitonga ,,hatupendi kutoka jasho au kujitesa,,,na wadada ndo wametuharibu kabisa na u cheap wao wa kupenda magari so na sisi tukipata vihela kidogo tunakimbilia kununua vi ist ili upate chance ya kubeba those cheap african girls na kusahau kua kuna makubwa ya kufanya kuliko hata hizo vitu vidogo tunavo babaishwa navyo daaaah,,, sisi tunarudishana nyuma kwa upumbavu wetu wenyewe.

Wewe umechoka kimawazo, hautufai, bora ujipe moyo kuliko kufa moyo. sasa wewe ni marehemu wa moyo.hautakuwa na uwezo wa kutoa mchango kwa Africa, sikulaumu background mbovu ulipata........something is better than nothing. yaani hata kuwapa moyo wenzako hutaki! yelewh! .... inawezekana pia wewe ni Arab,au una asili hiyo, Wazungu Wakoloni kwa Elimu yao na mapesa yao walitawala Tanganyika jumla ya miaka 80 lakini haikuwa na wataalamu wala sophisticated infrastructures. kama leo. Sisi washamba , Maskini wa wakati huo tuso na Elimu wala mapesa tumetawala miaka 50 tu. angalia tulipo. tumesonga sana kama mimi. baba yangu. na wajomba zangu wote walokuwa maskini. hawakamatiki wako mbali ukiona waliko toka. barabara bora. reli.mawasiliano. eti tunajiduwaza? ndo nini?...... bado unafikiri kizamani sana wewe.... mzee una miaka mingapi.

hivi unaishi wapi mkuu samahani! sidhani kama ni Bongo.

Oooh eti wadada wamewaharibu......umejiharibu mwenyewe kwa tamaa zako hizo mkuu. wao dada zenu wapo smart sana kazi yao ni kulea vidume vyenye akili nyingi...(.yeye anataka kukulea wewe unawaka tamaa na Vitz ya makopo). kwanza wao ndo wamekamata ofisi nyingi ki -u boss Bongo. sasa utamtisha nani na hicho kibati.
labda house keeper wa Mu-hindi.... Kwani mkuu huna job mate wadada ofisini kwenu hapo?
enzi hizo bila mdada kupendwa na mdingiyo au ange muharibu wewe ungeandika hapa.

Utabaki wewe mkuu sisi tuna songa mbele daima. wenye moyo kabla ya silaha watatufuata, nyie tunawaburuza Mfano mzuri mimi nina michango mingi siyo tu kwa Tanzania yangu. bali kwa Africa yoote. ile machine ya kutengeza tofali za ujenzi rahisi mie ndo nimegundua....na inatumika kwa kwenda mbele weupe walikuwa hawaijui. pili nyasi ngumu na makuti ya kuezekea Nyumba. Bar, nk;zinazo dumu tena zisizoshika moto kirahisi na kuteketea.nimefanya hiyo. Tatu bampa ngumu za magari ambazo niliweka gold leaf.hazipindi kirahisi. na mengine meengi, kwa mfano sasa hivi tuna.............. je wewe una mchango gani.......... ntarudi
 
Wewe umechoka kimawazo, hautufai, bora ujipe moyo kuliko kufa moyo. sasa wewe ni marehemu wa moyo.hautakuwa na uwezo wa kutoa mchango kwa Africa, sikulaumu background mbovu ulipata........something is better than nothing. yaani hata kuwapa moyo wenzako hutaki! yelewh! .... inawezekana pia wewe ni Arab,au una asili hiyo, Wazungu Wakoloni kwa Elimu yao na mapesa yao walitawala Tanganyika jumla ya miaka 80 lakini haikuwa na wataalamu wala sophisticated infrastructures. kama leo. Sisi washamba , Maskini wa wakati huo tuso na Elimu wala mapesa tumetawala miaka 50 tu. angalia tulipo. tumesonga sana kama mimi. baba yangu. na wajomba zangu wote walokuwa maskini. hawakamatiki wako mbali ukiona waliko toka. barabara bora. reli.mawasiliano. eti tunajiduwaza? ndo nini?...... bado unafikiri kizamani sana wewe.... mzee una miaka mingapi.

hivi unaishi wapi mkuu samahani! sidhani kama ni Bongo.

Oooh eti wadada wamewaharibu......umejiharibu mwenyewe kwa tamaa zako hizo mkuu. wao dada zenu wapo smart sana kazi yao ni kulea vidume vyenye akili nyingi...(.yeye anataka kukulea wewe unawaka tamaa na Vitz ya makopo). kwanza wao ndo wamekamata ofisi nyingi ki -u boss Bongo. sasa utamtisha nani na hicho kibati.
labda house keeper wa Mu-hindi.... Kwani mkuu huna job mate wadada ofisini kwenu hapo?
enzi hizo bila mdada kupendwa na mdingiyo au ange muharibu wewe ungeandika hapa.

Utabaki wewe mkuu sisi tuna songa mbele daima. wenye moyo kabla ya silaha watatufuata, nyie tunawaburuza Mfano mzuri mimi nina michango mingi siyo tu kwa Tanzania yangu. bali kwa Africa yoote. ile machine ya kutengeza tofali za ujenzi rahisi mie ndo nimegundua....na inatumika kwa kwenda mbele weupe walikuwa hawaijui. pili nyasi ngumu na makuti ya kuezekea Nyumba. Bar, nk;zinazo dumu tena zisizoshika moto kirahisi na kuteketea.nimefanya hiyo. Tatu bampa ngumu za magari ambazo niliweka gold leaf.hazipindi kirahisi. na mengine meengi, kwa mfano sasa hivi tuna.............. je wewe una mchango gani.......... ntarudi
Na mashaka na uandishi wako, je umefika hata darasa la saba?
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom