mzee wa ndoto
Member
- Jul 10, 2020
- 75
- 46
Kwanza poleni na majukumu ya kila siku, ukijiona majukumu yamekuzidi sana jua ndio kipimo chako cha akili kinakuwa sawa ukiwa chizi au mfuu huwi na majukumu
Haya tuendelee
Kiukweli nilikuwa na ndoto nyingi ambazo zimekwama mpaka kufikia hatua ya kukata tamaa. Na ikitokea ndoto moja ikikamilika basi haiwi na tija kama nilivyokusudia.
Kipato au mafanikio yanakuwa chini sana, nilipochunguza kuna kikundi flani kilichopanga nife nikiwa kapuku sasa nimebadili mtindo wa upambanaji.
Zile ndoto zangu zote Sasa nimeamua kuziwekeza kwa mwanangu. Nataka awe dereva fundi magari, umeme, mshonaji nguo, mwalimu, nesi, daktari, mwandishi wa habari, operator wa mitambo mbalimbali yaani kila fani za halali
Ili mradi likitoka tangazo la ajira tu yeye yumo.
Mwisho ukiona kila lengo linakataa basi wekeza kwa mwenzako huenda riziki zako zimekwisha.
Haya tuendelee
Kiukweli nilikuwa na ndoto nyingi ambazo zimekwama mpaka kufikia hatua ya kukata tamaa. Na ikitokea ndoto moja ikikamilika basi haiwi na tija kama nilivyokusudia.
Kipato au mafanikio yanakuwa chini sana, nilipochunguza kuna kikundi flani kilichopanga nife nikiwa kapuku sasa nimebadili mtindo wa upambanaji.
Zile ndoto zangu zote Sasa nimeamua kuziwekeza kwa mwanangu. Nataka awe dereva fundi magari, umeme, mshonaji nguo, mwalimu, nesi, daktari, mwandishi wa habari, operator wa mitambo mbalimbali yaani kila fani za halali
Ili mradi likitoka tangazo la ajira tu yeye yumo.
Mwisho ukiona kila lengo linakataa basi wekeza kwa mwenzako huenda riziki zako zimekwisha.