Homa la jiji
Senior Member
- Jan 13, 2014
- 129
- 28
Hivi karibuni ilikaziwa sheria yakuwaondoa machinga maeneo mbalimbali ya jiji na ilitumika nguvu kubwa ambayo iliwafanya wamachinga waondoke maeneo walioyavamia lakini baada ya mda mfupi tu wakarudi nakuendelea kufanya biashara zao kama kawaida sijajua nini kinawakwamisha lkn najua huwa wanakurupuka kupanga mipango ya muda mfupi badala yakupanga mipango endelevu