Mfalme wa Genge
Senior Member
- Mar 30, 2018
- 190
- 224
Habari zenu wanajamvi wenzangu, leo ninataka niweke mambo hadharani kuhusiana na mpango mkakati wa Vyama vya Upinzani kutaka kutumia mwamvuli wa dini kuichafua na kuivuruga amani ambayo tumekuwa nayo kwa muda mrefu sasa.
Katika kikao cha siri kilichofanyika kati ya viongozi wakuu wa Upinzani nchini wameunda timu zitakazokwenda kwenya Taasisi mbalimbali za dini kuwashawishi Viongozi na Waumini kuwaunga mkono kuelekea uchaguzi wa 2020.
Taarifa za siri kutoka ndani zinasema, tayari fedha kutoka kwa wafadhili wao kiasi cha shilingi bilioni 20.3 zimeshakabidhwa kwa viongozi hao kuanza harakati na kuhakikisha lengo lao linatimia la kumng’oa Rais Magufuli madarakani 2020.
Viongozi waliopangwa kuzunguka Misikitini katika Mikoa ya Tanga, Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Arusha, Bukoba, Sumbawanga na Kilimanjaro ni:
Viogozi waliopangwa kuzunguka Makanisani katika Mikoa ya Mbeya, Iringa, Lindi, Mtwara na Ruvuma ni;
Na Godfrey Massawe
Katika kikao cha siri kilichofanyika kati ya viongozi wakuu wa Upinzani nchini wameunda timu zitakazokwenda kwenya Taasisi mbalimbali za dini kuwashawishi Viongozi na Waumini kuwaunga mkono kuelekea uchaguzi wa 2020.
Taarifa za siri kutoka ndani zinasema, tayari fedha kutoka kwa wafadhili wao kiasi cha shilingi bilioni 20.3 zimeshakabidhwa kwa viongozi hao kuanza harakati na kuhakikisha lengo lao linatimia la kumng’oa Rais Magufuli madarakani 2020.
Viongozi waliopangwa kuzunguka Misikitini katika Mikoa ya Tanga, Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Arusha, Bukoba, Sumbawanga na Kilimanjaro ni:
- Prof. Abdalla Safari – Mwenyekiti CHADEMA Tanzania Bara
- Salum Mwalumu – Mwenyekiti CHADEMA Zanzibar
- Ado Shaibu – Katibu Mwenezi ACT Wazalendo
- Rajabu Katambi (mdogo wa aliyekuwa Mufti wa BAKWATA – Marehemu Issa Simba)
- Issa Ponda Issa
- Issa Mohamedi
Viogozi waliopangwa kuzunguka Makanisani katika Mikoa ya Mbeya, Iringa, Lindi, Mtwara na Ruvuma ni;
- Peter Msigwa – Mbunge Iringa Mjini
- Joseph Haule – Mbunge Mikumi
- Godbless Lema – Mbunge Arusha Mjini
- Zubeda Sakulu – Viti Maalumu Ruvuma
- Upendo Peneza – Viti Maalumu Geita
- Suzan Lymo – Viti Maalumu Kilimanjaro
Na Godfrey Massawe