Hii ni nyumba ndogo. Itabidi arudi kwenye nyumba kuu. Mambo yakiharibika inakuaga hivyo.No. Ni mkurugenzi BAHI
Hii ni nyumba ndogo. Itabidi arudi kwenye nyumba kuu. Mambo yakiharibika inakuaga hivyo.No. Ni mkurugenzi BAHI
Zungu hana account twitter.Hili ni jambo lililopangwa kwa haraka sana na tayari kwa asilimia 98 limekamilika .
Hii ndio ile mitaani tunasema "MAREHEMU HAKUOMBA HATA MAJI YA KUNYWA"
View attachment 2069113
Na hii ameikumbuka leo ? Kweli kuna watu na Viatu....😀😀😀 ZUZU na MBUSUSU haya kumekucha kumecha!!
View attachment 2069176
... najaribu kuwaza kwa niaba ya Ndugai; hivi akiachia uspika regardless of the approach; mafao, marupurupu, posho, haki, na stahili za Spika mstaafu ata-deserve? Nadhani hili linamtia wazimu kuliko kingine chochote kile! Wakuu Erythrocyte, Crimea, Tindo mtujuze.Kwa mtu mzima ambaye amekuwa kiongozi kwa muda mrefu, naamini Mh Job Yusto Ndugai ataamua kuachia ngazi ili kulinda kaheshima alikonako. Asipoachia ngazi kabla ya Bunge kuanza basi mambo mawili yanaweza kumtokea:
Ima CCM imuite, imuhoji na kumnyang’anya uanachama na hivyo kupoteza Uspika na Ubunge ama Bunge litoe hoja ya kumvua Usipika na kubaki na ubunge wake. Vyovyote itakavyokuwa, sioni Ndugai akikalia kiti cha Uspika kwenye kikao kinachoanza mwishoni mwa mwezi huu ama mapema mwezi ujao. Ndugai anaondoka, atumie busara kuchagua anaondoka vipi. Aondoke kwa kupokwa uanachama wa kijani ba hivyo kukosa Ubunge na Uspika au ajiuzulu Uspika na kubaki na ubunge wake au wabunge wamuondoe! Bora aondoke mwenyewe as this option is a lesser devil for his situation.
Kwa upande mwingine nilimsikia Mh Rais akisema nyumba ya akina Kassim ilikuwa inasema serikali yake ni ya mpito. Kassim (naamini ni PM), ni kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni, sasa kama Bunge, ambalo yeye ni Mbunge No 1, linamsema Mh Rais basi ni vyema PM naye akaangalia busara katika hilo na hivyo kuachia tu ngazi ili Mh Rais apate nafasi ya kuunda serikali upya kama atataka kumrudisha basi atamteua. Pia Mh Rais kasema kuna Mawaziri wanaoangalia 2025 badala ya kufanya kazi na hivyo atawatoa; PM kama mkuu wa Mawaziri anatakiwa kutumia busara na kuandika kwa Mh Rais ili akae kando na kumpa nafasi Mh Rais kupanga vyema Serikali yake na kuondoa wale wote wenye matamanio ya 2025. Kumbuka PM akijiuzulu Baraza la Mawaziri linapoteza uhalali hivyo kumlazimu Rais kuunda upya serikali kuanzia PM.
Ni imani yangu kwamba kwa hali ilivyo hawa wakuu wawili wanatakiwa kutumia busara na kuamua kumpisha Mh Rais.
Chama cha fitina
Kingu anakuwaga na kiherehere sana!
Itapendeza sana na baraza la mawaziri aweke kina mama wote hapo vp!Ndugai andaa maisha yako Kwa kuwataka radhi wale wote uliowakosea wakati wa Uspika wako.
Ulimpokonya Mama Makinda, kiroho Safi alikuachia Kiti. Zamu yako kiroho Safi muachie Tulia.
Kuna Kila Dalili PM akawa Mwanamama. Wanaume tujiandae kisaikolojia.
Hili sekeseke ni fursa nzuri kwa wasaka vyeo ikizingatiwa na tabia ya unafiki iliyokithiri.Kwa mtu mzima ambaye amekuwa kiongozi kwa muda mrefu, naamini Mh Job Yusto Ndugai ataamua kuachia ngazi ili kulinda kaheshima alikonako. Asipoachia ngazi kabla ya Bunge kuanza basi mambo mawili yanaweza kumtokea:
Ima CCM imuite, imuhoji na kumnyang’anya uanachama na hivyo kupoteza Uspika na Ubunge ama Bunge litoe hoja ya kumvua Usipika na kubaki na ubunge wake. Vyovyote itakavyokuwa, sioni Ndugai akikalia kiti cha Uspika kwenye kikao kinachoanza mwishoni mwa mwezi huu ama mapema mwezi ujao. Ndugai anaondoka, atumie busara kuchagua anaondoka vipi. Aondoke kwa kupokwa uanachama wa kijani ba hivyo kukosa Ubunge na Uspika au ajiuzulu Uspika na kubaki na ubunge wake au wabunge wamuondoe! Bora aondoke mwenyewe as this option is a lesser devil for his situation.
Kwa upande mwingine nilimsikia Mh Rais akisema nyumba ya akina Kassim ilikuwa inasema serikali yake ni ya mpito. Kassim (naamini ni PM), ni kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni, sasa kama Bunge, ambalo yeye ni Mbunge No 1, linamsema Mh Rais basi ni vyema PM naye akaangalia busara katika hilo na hivyo kuachia tu ngazi ili Mh Rais apate nafasi ya kuunda serikali upya kama atataka kumrudisha basi atamteua. Pia Mh Rais kasema kuna Mawaziri wanaoangalia 2025 badala ya kufanya kazi na hivyo atawatoa; PM kama mkuu wa Mawaziri anatakiwa kutumia busara na kuandika kwa Mh Rais ili akae kando na kumpa nafasi Mh Rais kupanga vyema Serikali yake na kuondoa wale wote wenye matamanio ya 2025. Kumbuka PM akijiuzulu Baraza la Mawaziri linapoteza uhalali hivyo kumlazimu Rais kuunda upya serikali kuanzia PM.
Ni imani yangu kwamba kwa hali ilivyo hawa wakuu wawili wanatakiwa kutumia busara na kuamua kumpisha Mh Rais.
Sasa huyu mbunge c alitongozwa ni haki yake kukubali ama kukataa yy ni mtu mzima! kuna ubaya gani hapo kwani yy ni mtoto wa cheke chea!!?😀😀😀 ZUZU na MBUSUSU haya kumekucha kumecha!!
View attachment 2069176
Lakini matokeo yatatangazwa kama "wanavyotaka"Uzuri huko zikipigwa kura zitakuwa za siri.
Na kwa hili amewaaibisha sana wagogoMsamaha aliomba Ndugai umewapa nguvu sana Chief Hagaya na hao chawa wake...sasa anaonekana ni mkosefu kamili
Akome lakini, mwanaume gani pamoja na wadhifa alionao anakuwa mwepesi mwepesi kuomba msamaha kwa mambo ya kipuuzi
Mwanaume unatakiwa kuwa mbishi (kauzu) hata kama umekosea kweli
You are wasting your precious time proposing the impossibility to happen; whatever the measures you may opt to take against the chief of the parliament pillar Tanzania shall record to book a new history in just a few months since the president-elect passed away.Kwa mtu mzima ambaye amekuwa kiongozi kwa muda mrefu, naamini Mh Job Yusto Ndugai ataamua kuachia ngazi ili kulinda kaheshima alikonako. Asipoachia ngazi kabla ya Bunge kuanza basi mambo mawili yanaweza kumtokea:
Ima CCM imuite, imuhoji na kumnyang’anya uanachama na hivyo kupoteza Uspika na Ubunge ama Bunge litoe hoja ya kumvua Usipika na kubaki na ubunge wake. Vyovyote itakavyokuwa, sioni Ndugai akikalia kiti cha Uspika kwenye kikao kinachoanza mwishoni mwa mwezi huu ama mapema mwezi ujao. Ndugai anaondoka, atumie busara kuchagua anaondoka vipi. Aondoke kwa kupokwa uanachama wa kijani ba hivyo kukosa Ubunge na Uspika au ajiuzulu Uspika na kubaki na ubunge wake au wabunge wamuondoe! Bora aondoke mwenyewe as this option is a lesser devil for his situation.
Kwa upande mwingine nilimsikia Mh Rais akisema nyumba ya akina Kassim ilikuwa inasema serikali yake ni ya mpito. Kassim (naamini ni PM), ni kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni, sasa kama Bunge, ambalo yeye ni Mbunge No 1, linamsema Mh Rais basi ni vyema PM naye akaangalia busara katika hilo na hivyo kuachia tu ngazi ili Mh Rais apate nafasi ya kuunda serikali upya kama atataka kumrudisha basi atamteua. Pia Mh Rais kasema kuna Mawaziri wanaoangalia 2025 badala ya kufanya kazi na hivyo atawatoa; PM kama mkuu wa Mawaziri anatakiwa kutumia busara na kuandika kwa Mh Rais ili akae kando na kumpa nafasi Mh Rais kupanga vyema Serikali yake na kuondoa wale wote wenye matamanio ya 2025. Kumbuka PM akijiuzulu Baraza la Mawaziri linapoteza uhalali hivyo kumlazimu Rais kuunda upya serikali kuanzia PM.
Ni imani yangu kwamba kwa hali ilivyo hawa wakuu wawili wanatakiwa kutumia busara na kuamua kumpisha Mh Rais.
RAS wa mchongo na fisadi, ilikuwaje akaletwa Dodoma?Mkewe ni RAS wa Dodoma!