Mipango miji Tanzania

Kama ni mimi ningepewa mamlaka/kazi ya kuliekebisha hili.
Ningetumia hawahawa wanafunzi wa DIT,UCLAS,Ardhi,UD--na technical colleges wafanye projects za ku-design miji mipya--kila chuo ningekipa wilaya moja ya ku-design--na hapa kila group ya wanafunzi ipewe kata 1.Kuwe na makazi,viwanja vya michezo,barabara,dampo,mipangilio ya miti na huduma zote muhimu za kijamii(mini-towns)--kama hizi Town creator..
Kungekuwa na namna ya ku-rate na kuzitumia hizi designs zao katika kupanga miji--kwa ushauri wa kitaalamu kutoka kwa hawa "maprofesa" wenye ujuzi zaidi.Maeneo ambayo tayari yanamilikiwa na watu binafsi--yapewe uhuru wa kuendeleza au kuuza.
Tatizo elimu yetu iko kwenye vitabu zaidi---unakuta hawa urban planners---hajawahi ku-design chochote maishanii mwake.
hata hizi shule na mahospitali tunayojenga---wataalam wangepewa pro-bono--wajitolee--kwa ajili ya taifa---taifa liwe na templates kama 10 zilizorasimishwa---kamwe tusingekuwa na vishule vya ajabu ajabu mtaani...the same kwa maduka,open spaces,viwanja vya mipira etc
Ni mawazo yangu tu--lakini kama ingetumika hili wazo tungeweza kufika mahali--tuache SIASA.

3d model of parking 1




3D Site Plans drawing example​

3D Site Plans drawing 2nd exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 3d exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 4 exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 5 exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 6 exemple by Tsymbals


Hizi hapa chini ni urban gardens--zilizopo Copenhagen--duara moja lina nyumba kuanzia 16 hadi 20...Na maeneo yote TZ hili linatushinda kweli?
View attachment 1727833View attachment 1727834View attachment 1727835
Wakuu wengi wa hizi taasisi ni wazee wasio na exposure na wasio na uthubutu. Haya mawazo watayatoa wapi? Na ukiwapa watakuelewa?
 
Kama ni mimi ningepewa mamlaka/kazi ya kuliekebisha hili.
Ningetumia hawahawa wanafunzi wa DIT,UCLAS,Ardhi,UD--na technical colleges wafanye projects za ku-design miji mipya--kila chuo ningekipa wilaya moja ya ku-design--na hapa kila group ya wanafunzi ipewe kata 1.Kuwe na makazi,viwanja vya michezo,barabara,dampo,mipangilio ya miti na huduma zote muhimu za kijamii(mini-towns)--kama hizi Town creator..
Kungekuwa na namna ya ku-rate na kuzitumia hizi designs zao katika kupanga miji--kwa ushauri wa kitaalamu kutoka kwa hawa "maprofesa" wenye ujuzi zaidi.Maeneo ambayo tayari yanamilikiwa na watu binafsi--yapewe uhuru wa kuendeleza au kuuza.
Tatizo elimu yetu iko kwenye vitabu zaidi---unakuta hawa urban planners---hajawahi ku-design chochote maishanii mwake.
hata hizi shule na mahospitali tunayojenga---wataalam wangepewa pro-bono--wajitolee--kwa ajili ya taifa---taifa liwe na templates kama 10 zilizorasimishwa---kamwe tusingekuwa na vishule vya ajabu ajabu mtaani...the same kwa maduka,open spaces,viwanja vya mipira etc
Ni mawazo yangu tu--lakini kama ingetumika hili wazo tungeweza kufika mahali--tuache SIASA.

3d model of parking 1




3D Site Plans drawing example​

3D Site Plans drawing 2nd exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 3d exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 4 exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 5 exemple by Tsymbals 3D Site Plans drawing 6 exemple by Tsymbals


Hizi hapa chini ni urban gardens--zilizopo Copenhagen--duara moja lina nyumba kuanzia 16 hadi 20...Na maeneo yote TZ hili linatushinda kweli?
View attachment 1727833View attachment 1727834View attachment 1727835
mkuu upo sawa sana....

nikupe pongezi kwa hili

ni wazo lenye mtazamo bora kabisa
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Tanzania imeingia makubaliano na China kuingiza bidhaa adimu Kwa mfumo wa Mradi Ambao hata jijj la DAR es Salaam haujawai kufikiria IPO siku Miji yetu itahitaji kufanya Kwa mfumo wa fidia.. "Mradi huo ni Mradi wa Maji Machafu" KAZI hiyo ya kuimport itafanyika Kwa gharama ya Dola za Marekani tirioni 2...

KAZI nzuri soma elewa tuchape Mwendokasi ya Maji Machafu Miji ipendeze na wahindi wale MAISHA ya zamani...


Resultat av Googles bildsökning efter http://theglobalgrid.org/wp-content/uploads/2016/05/wzajwsclc02.jpg

Kufikiri Maji Machafu Fanya mwenyewe options ni kuimport tu
Sijakuelewa unaongelea kuhusu nn.
 
tunaweza kuutumia huu uzi vyema kwaajili ya kulikomboa taifa letu kwenye masuala ya miundo mbinu,

wizara ardhi hatutoacha kuitupia lawama mpaka ijirekebishe kikamilifu kiutendaji na uwajibikaji
 
"Ukipita njia moja hivi kutoka Itigi kwenda Tabora kuna msitu mkubwa hakuna mtu hata mmoja, ardhi iko nyingi nchii hii ambayo haina mgogoro wowote wala haina mtu anayekaa, lakini ardhi inapoanza kupata wakaazi na matumizi,, ndiyo migogoro inapoj@jerrysilaa Waziri wa Ardhi

"Kikubwa ambacho tumedhamiria ni kuhakikisha hii nchi inapimwa yote, kuna zile 'K tatu' yaani kupanga, kupima na kugawa, sasa huwezi kugawa nchi nzima lakini ipangwe halafu ipimwe,"- @jerrysilaa Waziri wa Ardhi

"Tukisema kupanga maeneo maana yake ni kupanga kwa teknolojia ya kisasa ambayo inaamini kabisa ndani ya miaka 50 hadi 100 ijayo studio za TV na Radio zitakuwa maeneo gani, tujue kabisa mwaka 2100 na 2200 tutahitaji shule ngapi, hebu tupange leo kisha tupime ibaki kazi ya ku-allocate,"- Jerry Silaa, Waziri wa Ardhi

#SupaBreakfast
#EastAfricaRadio
FB_IMG_1694468112362.jpg
 
Back
Top Bottom