Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tufanyeje?Waungwana
Hii ndio ilyokuwa mipaka ya zanzibar katika awamu mbali mbali
hapa munaona ukubwa wake
Tumeona, unacho kingine cha kutuonyesha?
hayo tunayajua mkuu, labda kama una jingine
Tatizo kubwa la hawa jamaa wanaodai wanapambana ili pwani ya Kenya na Zanzibar wajitenge ni kukosa elimu dunia!
Waungwana
Hii ndio ilyokuwa mipaka ya zanzibar katika awamu mbali mbali
hapa munaona ukubwa wake
Wana hamu ya kuingia na Viza Nchini Tanganyika hv warabu Wataweza kuvumilia ulalamishi wa wazenji ?Ilikuwa ya Zanzibar au ya Sultani wa Zanzibar?
Utumwa mlionao unawasumbua sana. Labda nikuulize swali ili ujione mjinga kwa amani: Wakati Tanganyika inapata Uhuru, uhuru huo ulijumuisha na maeneo hayo au hayo maeneo yalibaki chini ya mume wenu?
Wana hamu ya kuingia na Viza Nchini Tanganyika hv warabu Wataweza kuvumilia ulalamishi wa wazenji ?
Sasa mbona hawadai maramoja kila kitu au wanadai hatua kwa hatua. Kwanza mamlaka kamili halafu ukanda wa pwani. Kwani na mafia hawajadai? Unajua mgomvi hata ukimkubalia ataendelea kugombana kwa sababu mpya.Waungwana
Hii ndio ilyokuwa mipaka ya zanzibar katika awamu mbali mbali
hapa munaona ukubwa wake
Waungwana
Hii ndio ilyokuwa mipaka ya zanzibar katika awamu mbali mbali
hapa munaona ukubwa wake