Ministry of Farce Affairs aka Foreign Afairs

utendaji bora wa mwambene unapimwa kivipi?


Mkuu unajua bajeti ya wizara ya mambo nje kitengo cha ICT? Muulize mwambene alafu akuambie yeye hiyo bajeti ameimplement nini wizarani.......

longo longo za serikalini tunazijua wizi wizi tu umewajaa mnanunua software 'hewa' kwa Bil 1 leo unasemw wana husda? kwa lipi wakuu?

tubadilike tutumie akili kidogo mkuu msiwe kama kondoo mnapelekwa pelekwa tu...you have to reason hata kidogo

Namjua Mwambene na ninaelewa kabisa chuki za vijana wavivu, wapenda majungu na husda juu yake, na kwa kuwa ni mtu makini wewe na wote mnaoshiriki kwenye kampeni dhidi yake hasa kwenye vijiwe vya majungu kama hapa JF hamtaweza ku mface kumwambia wala hamtaweza kumfuata bosi wake kwa kuwa uwezo wake na utendaji wake hapa wizarani unaonekana. Nawashauri ninyi ongezeni juhudi walau mfikie mafanikio katika utendaji wenu wa kazi badala ya kukalia majungu na fitna zisizo na kichwa wala miguu kifupi..get a life Losers
 
Mkuu precisely this is our point. Ndo maana wengine tunaliangalia hili swala kwa mapana not on personalities. mimi huyu Mwambene simjui. Lakini kinachogomba hapa ni kuona watu mnabadilisha maswala muhimu katika personalities. Mlichotakiwa kufanya ni kumjibu muhusika kwa hoja. Trust me you..we would be having another conversation here. Is hitting you where it hurts. Na nyinyi mnashindwa kwa sababu hamna majibu..mnaishia kusema jamaa alikosa kazi...Harafu ni cheap politics kutumia udhaifu wa mwenzako kujustify wa kwako. Kwamba Foregn ni wabovu kwa vile wizara nyingine nazo ni mbovu..sounds familiar with 'our country is still young' Roma haikujengwa kwa siku moja'..nk?? This is bongo my friend...

Mkuu lets be realistic. Hivi ku-up-date website unahitaji kiasi gani cha pesa jamani? I think we should start living in the present! By the way bajeti ya V8 ya wizara inaweza kumantain website ile vizuri sana kwa mwaka mzima. Ni mawazo kama haya ya kujustify uzembe wetu tunajikuta kila siku tuko pale pale. Typical bongo..always short of imagination and vision!

Labda tumuulize Invisible..how much does it cost him and his friends kumaintain JF?

Suala sio how much does it cost but how much is available at the ministry level? hata kama itakuwa ni 100,000/- kama wizara haijatenga kiasi hicho huwezi kuzipata. kifupi na mimi kama mwananchi wa kawaida inanikwaza kuona website za wizara haziwi updated mara kwa mara kutoa taarifa kwa wananchi lakini ninaona si swala la mtu mmoja wala wizara lakini suala la serikali nzima. Naijui vizuri department ya Afrika pale wizarani, kwa mfano deski ya moja yenye wafanyakazi watano ina kompyuta mbili kati ya hizo moja tu ndio imeunganishwa na internet sijui ya wapi maana kasi ya kobe, sasa kwa mazingira haya huwezi ona tatizo hili ni la serikali kujiweka nyuma kwenye teknolojia badala ya uwezo mdogo Mwambene?
 
Kuna uwezekano wa element za bifu hapa, lakini zipo points ambazo zimekuwa raised, in case tunaweza kuangalia upande wa pili. The fact kwamba matangazo yanarushwa across Tv, radio na all other media, does not erode the function ya ministry, at least wanaweza copy paste from other sites coz its the same info. Point nyingine ni safety ya wa TZN huko JPN, kama ministry wana jukumu la kutupa status yao kama hizo information wamezipata, na kama bado wanatakiwa kutoa walicho nacho.:smash:
 
No sikubaliani nawe

Huyo PR officer wa foreign analipwa kufanya kazi yake na pesa ni tax payers money na mbaya zaidi kuna janga limetokea huko Japan ambako wako wa Tanzania

Tatizo hapa ni mtego huyu John naona keshajua yuko right lakini kaweka mtego ili hao aliowalenga waje kumjibu na kwa sababu watakuwa hawana hoja basi ndio bwana mkubwa anaendeleza hii ya kumkoma nyani giladi

Mimi sioni kuwa mfwatiliaji wa jambo maana yake ni mmegombana ila kuna hoja za mihimu zimekuwa raised.

Kuna watu wanalipwa kudesign na kupdate website ya foreign na kwa sababu sisi wazuri kuchakachua obviously itakuwa overinflated

pia ni wajibu wa waziri husika kuwahabarisha watanzania kupitia vitu kama mitandao ili wajue wafanye nini na wapi watapata msaada wakikwama

je mtego upo? Of course upo ila sijajua ni upi wa dizaini ya Dr Shayo au wa Magufuli ...


Unajua niltaka kukulaumu lakini l have to look things more objectively

Naomba radhi kwani lawama zangu hazikuangalia hili jambo kwa mapana.

hivyo nashkuru sana kwa kuniweka sawa kuhusu hili jambo

Kama Assah yuko bize basi wampe INVISIBLE aiendeshe kama JF.

Infact nimetembelea website yenyewe naona inahitaji total revamp surely foreign hawashindwi kuwa na fungu la software mpya na kama wakishindwa wanaweza kufanya kama BRELA na software yao
 
Suala sio how much does it cost but how much is available at the ministry level? hata kama itakuwa ni 100,000/- kama wizara haijatenga kiasi hicho huwezi kuzipata. kifupi na mimi kama mwananchi wa kawaida inanikwaza kuona website za wizara haziwi updated mara kwa mara kutoa taarifa kwa wananchi lakini ninaona si swala la mtu mmoja wala wizara lakini suala la serikali nzima. Naijui vizuri department ya Afrika pale wizarani, kwa mfano deski ya moja yenye wafanyakazi watano ina kompyuta mbili kati ya hizo moja tu ndio imeunganishwa na internet sijui ya wapi maana kasi ya kobe, sasa kwa mazingira haya huwezi ona tatizo hili ni la serikali kujiweka nyuma kwenye teknolojia badala ya uwezo mdogo Mwambene?


hahahaha..Mkuu..with this kind of thinking..I am afraid if people like you can survive professionally outside the comfort zones of bureacracy!

Hakuna anayemchukia mshikaji..people have legit questions! Hivi mnaposema serekali..mna maana gani? serikali si ni sisi wenyewe? you guys you are hired to find solutions kwa matatizo ya watanzania..now here you go with loads of excuses....au mpaka Kikwete aseme kompyuta za wizara zitengenezwe ndo zitatengenezwa? Creativity na daring bado ni tatizo kwetu.
 
Hakuna anayemchukia mshikaji..people have legit questions! Hivi mnaposema serekali..mna maana gani? serikali si ni sisi wenyewe? you guys you are hired to find solutions kwa matatizo ya watanzania..now here you go with loads of excuses....au mpaka Kikwete aseme kompyuta za wizara zitengenezwe ndo zitatengenezwa? Creativity na daring bado ni tatizo kwetu.

Japokuwa umeandika kwa dharau, lakini ujue kufanya kazi hapo tigo si sawa na kufanya kazi serikalini, huo msemo wa serikali ni mimi na wewe una apply huko kwenu serikalini kuna bureacracy kuliko unavyoweza kufikiria, hata immediate bosi wa Mwambene hawezi kubadilisha matumizi ya wizara. Kuna mambo huwezi kuyaelewa kama wewe ni mfanyakazi wa tigo na hujui lolote kuhusu kufanya kazi kwa madokezo na mafaili.
 
Japokuwa umeandika kwa dharau, lakini ujue kufanya kazi hapo tigo si sawa na kufanya kazi serikalini, huo msemo wa serikali ni mimi na wewe una apply huko kwenu serikalini kuna bureacracy kuliko unavyoweza kufikiria, hata immediate bosi wa Mwambene hawezi kubadilisha matumizi ya wizara. Kuna mambo huwezi kuyaelewa kama wewe ni mfanyakazi wa tigo na hujui lolote kuhusu kufanya kazi kwa madokezo na mafaili.

Sasa kaka ndo unani-confirm kwamba mimi ni mwajiriwa wa Tigo? I hpe huna nia mbaya na mimi (always great to be positive)

Haya bwana, tupendane na tushirikiane. Tuijenge Tanzania yetu. Uwe foreign, Tigo nk..we are all working to build a more perfect union.

Masanja
 
Sasa kaka ndo unani-confirm kwamba mimi ni mwajiriwa wa Tigo? I hpe huna nia mbaya na mimi (always great to be positive)

Haya bwana, tupendane na tushirikiane. Tuijenge Tanzania yetu. Uwe foreign, Tigo nk..we are all working to build a more perfect union.

Masanja

Sina nia mbaya kabisa mkuu, tujenge taifa letu kwa ushirikiano wa PPP.
 
Kwa kifupi website ya wizara ya mambo ya nje haina manufaa kwa watanzania wanaotaka kusafiri au wanaokaa nje ya nchi, at least Mbopo amekuwa mkweli na kusema kama unataka kujua kinachoendelea uko unakokwenda angalia CNN/Al Jazeera/BBC.

Mpaka leo wizara imekaa kimya kuhusiana na ndugu zetu waliokwama Libya na Misri, iliwapa ushauri gani ndugu zao walioko hapa Tanzania? Tuache hizi nonsense za sijui una chuki binafsi, uliomba kazi ukanyimwa na tuangalie issue iliyokuwa raised hapa.
 
Mbopo tegemea majibu yangu asubihi, then Jumapili na all of next week

Ohh btw I could do the job FREE OF CHARGE wala sihitaji hizo pesa kama mnavyofikiria. If anything pesa mtakazo nipa bora niwape walemavu wanunue basikeli

unapewa cosntructive criticism na bura ujibu kuliko kulalama kuwa kuna personal vendetta hapa
 
so waziri anatueleza msimamo wa Serikali kuhusu pesa za BAE lakini mbona wao kama wizara wako kimya?

we need more clarification direct toka wizarani na sio hizi interpretations from tablaoid media zetu
 
Wabongo wengi tunapendwa kutukuzwa hata kama ni uongo yani ukim-criticize mtu una chuki..my foot!
Yani hata website ya global publishers ina update kushinda hizi za serikali kama MFA ambazo zinatakiwa kuweka habari muhimu kila mara..
sasa jiulize how much jamaa wa foreign wanavyolipwa compared to shigongo

tuna some serious problems
 
Developments za OSLO hakuna wakutujuza kulikoni

na naona Invisible kaamua kuogoa jahazi kwa kuhamisha thread huku

sasa haijulikani waTanzania walioko huko wafanye nini na wamcontact nani kwenye hili janga

waziri naye haishi kuja kulalama JF kuwa anapakaziwa
 
nimetafuta namba za simu za ubalozi wa UAE kwenye website ya foreign sijapata

namba zilizopo inaonekana ni za zamani
 
Najua watu wa Foreign wana hasira kua tunawasema.....but I hope you will learn something out of this, and you will change for the better.....chukieni weweeee, semeni weee, lakini jifunzeni kitu na mbadilike....kuna mambo ya kurekebisha huko kwenu.

Na usituletee mambo ya beurocrasy, sijui serikali yote...sijui nini.....nyie wafanyakazi wa serikali ndio serikali yenyewe...kama bosi wako hawezi kubadilisha website....copy hii thread, mforwardie bosi pamoja na bosi wake...waambie tunawaona!
 
Back
Top Bottom