MiningWatch ya Canada wanasema kulikuwa na ukiukwaji wa sheria Mgodini North Mara, Tume ya haki za Binadamu Tanzania wanakana

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
4,408
11,676
Mining Watch Canada ni NGO inayo fuatilia maswala ya madini hasa ukiukwaji wa haki za bibadamu, rushwa na maswala mwengine. Hii NGO iko Canda na BARICK ni kampuni ya Canada.

IMG_20240925_171400.jpg


Sasa Mining Watch ya Canada inakili kwenye utafiti wao walio ufanya North Mara kwamba Barick ambayo ni ya Canada ilifanya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu wakati wa upanuzi wa mgodi wao kule North Mara. Hawa ni Mabeberu wanasema Mabeberu wenzao wa Barick walikiuka sheri.

Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora Tanzania wanakana report ya Mining Watch, maana yake Mining Watch ni waongo wanaisingizia bure Kampuni ya kwao.

Hii tume sijajua wametembezewa bahasha za kiasua gani ila huu ni ujinga wa kiwangi cha juu kabisa.

Bado tunakenua meno kuwoana Mabeberu hawana maana kumbe maadui zetu ni watu wengine kabisa.

Screenshot_20240925_171412_com.twitter.android.jpg

Screenshot_20240925_171422_com.twitter.android.jpg

Screenshot_20240925_171429_com.twitter.android.jpg
 
12 June 2024

Tanzania: Police Linked to Killings at Gold Mine​

Ensure Independent Investigations; Prosecute Those Responsible

North Mara Gold Mine in Tarime district, northwest Tanzania.
Click to expand Image
North Mara Gold Mine in Tarime district, northwest Tanzania. © 2022 Private

(Nairobi) – Police in Tanzania guarding the North Mara Gold Mine have been linked to the killing of least six people and injury of several others during clashes since February 2024, Human Rights Watch said today. The Tanzanian authorities should promptly undertake independent and impartial investigations into the killings and other abuses in northern Tanzania’s Tarime district.

The police have accused those killed and injured of “invading the mine” and conducting illegal small-scale mining inside the mine’s premises. The police have made no arrests related to these abuses.

“The growing number of unaccounted for killings connected to Tanzania’s North Mara Gold Mine reflect a worrying pattern of impunity for abuses that needs to be addressed,” said Oryem Nyeko, senior Tanzania researcher at Human Rights Watch, “The Tanzanian authorities should not sweep these deaths under the rug but should ensure that those responsible are held to account.”

In 2014, the Tanzanian government entered into an agreement with the North Mara Gold Mine Limited company to guard the mine with up to 110 police officers, referred to as “mine police” by community members, on an ongoing basis. Rights groups and community members have reported that in the years since this agreement, police officers have been responsible for beating, shooting, torturing, and detaining without charge residents of areas near the mines and dumping areas. The police accuse the residents of theft from the mine and its surrounding waste rock dumping sites.

Barrick Gold, a mining company headquartered in Toronto, Canada, and the Tanzanian government have jointly owned the mine since 2019. The area is inhabited by Indigenous Kurya people who have conducted small-scale local mining on the land for centuries. In 2022, 21 Tanzanians sued Barrick Gold before a Canadian court, accusing the company of being complicit in extrajudicial killings and beatings of residents by police assigned to the mine.

They alleged that the company converted the police operating in and around the mine “into a private and heavily armed security force.” A preliminary hearing in this case has been scheduled for October.
In the past four months several deaths and injuries have been reported for which no arrests have been made.

The police reported that on February 28, Jackson Nyamonge, a 28-year-old resident of Nyamwaga village, was found dead at the mine fence with injuries to his chest and stomach. On April 7, local media reported that police shot Sylvester Sobhe Marwa Nyangige in the head during a security operation at the mine. A copy of a police form, seen by Human Rights Watch, cites “unnatural death” as the circumstances of his death.

On April 26, police allegedly shot and injured Pascal Malembara in the leg in the Murwambe area.
On May 6, the police confirmed the death of Emmanuel Nyakorenga, a resident of Kewanja village, at a primary school near Nyabigena village, close to the mine. The police told the media that he was part of a group of people with “traditional weapons” who had attacked the police officers who were preventing them from unlawfully entering the mine.

A witness described the killing of Nyakorenga, telling Human Rights Watch that around 6pm police officers chased several people from an area near the mine’s Gokona pits into the Nyabigena Primary School playground, about 500 meters from the mine.

The police allegedly shot tear gas, sound bombs, and live bullets at the group, injuring some.

Shortly after Nyakorenga was fatally shot, the officers fled and residents of the area began to block the main road near the school in protest of Nyakorenga’s killing. Police later returned and dispersed the crowd, using tear gas. Nyakorenga’s relatives said that a postmortem examination found what looked like a bullet in his head, but that the officials who conducted the exam did not provide them with further information.

Since May 6, residents have reported the deaths of at least three other people in the area. The day after Nyakorenga’s death, residents reported that they found the body of an unidentified person at a mine dumping area outside the mine premises. On May 22, the media reported that Babu Christopher Iroga, a resident of Mjini Kati village, and July Mohali, a resident of Nyangoto village, were killed during a confrontation with police. The police accused the men of stealing from the mine.

John Heche, a former member of parliament for Tarime district, told Human Rights Watch that police abuses have intensified in the recent years, saying: “For a few years these deaths have been occurring, but never at this magnitude. People are being shot almost every day.”

Barrick Gold said in a June 11 response to a request for information from Human Rights Watch on June 4 that the company “does not, and cannot, have any de facto control over the police and their actions,” and that the “police are requested to enter the mine site to assist in upholding law and order” when their employees' lives are in danger. The company said that it is “not in any way involved or aware of [Tanzania police force] activity in the community, nor can it be responsible or accountable for it simply because such activity occurs in geographical proximity to the North Mara Gold Mine.”

Barrick Gold’s human rights policy states that it does “not tolerate violations of human rights committed by our employees, affiliates, or any third parties acting on our behalf or related to any aspect of one of our operations,” and that it does its “utmost to avoid being complicit in adverse human rights impacts, including benefitting from the human rights violations caused by others.”

Under the United Nations Guiding Principles on Business and Human Rights, companies have a responsibility to avoid causing or contributing to human rights violations and to provide remedy to victims of abuses to which they have caused or contributed.


The UN Basic Principles on the Use of Force and Firearms by Law Enforcement Officials require police to use nonviolent means before resorting to force and firearms. While law enforcement officials have a duty to protect lives and property, they should only use force when unavoidable and in a proportionate manner, and use lethal force only when absolutely necessary to save lives.

“For years, residents of areas near Tanzania’s North Mara Gold Mine have complained about the brutality of the police,” Nyeko said. “The Tanzanian government should ensure independent and impartial investigations into these abuses so that the victims and their families receive justice.
 
13 June 2024

RIPOTI KWA KISWAHILI KUHUSU UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU

Tanzania: Polisi Wahusishwa na Mauaji Mgodi wa Dhahabu​

Upepelezi Huru Ufanyike; Wahusika Washitakiwe

1727294672038.png

Mgodi wa Dhahabu wa North Mara, Wilaya ya Tarime kaskazinimagharibi mwa Tanzania © 2022 Private

(Nairobi) – Polisi nchini Tanzania wanaolinda Mgodi wa Dhahabu wa North Mara wamehusishwa na mauaji ya angalau watu sita na kujeruhi wengine kadhaa wakati wa migogoro na wananchi kuanzia mwezi Februari 2024, Huma Rights Watch imesema hii leo.

Mamlaka nchini Tanzania hazina budi kufanya uchunguzi huru na usio na upendeleo juu ya mauaji na unyanyasaji mwingine katika wilaya ya Tarime iliyoko Kaskazini mwa Tanzania.

Polisi wamewatuhumu wale waliouliwa na kujeruhiwa kwa makosa ya “kuvamia migodi” na kuendesha uchimbaji mdogo kinyume cha sheria ndani ya eneo la mgodi.

Polisi hawajakamata mtu yeyote kutokana na makosa hayo.
"Kuongezeka kwa idadi ya mauaji yasiyochukuliwa hatua yanayohusishwa na Mgodi wa Dhahabu wa North Mara nchini Tanzania kunaakisi hali inayotia wasiwasi ya kutoadhibiwa kwa unyanyasaji ijambo ambalo linahitaji kushughulikiwa" asema Oryem Nyeko, Mtafiti Mkuu wa Human Rights Watch Tanzania, “Mamlaka nchini Tanzania hazina budi kushughulikia kesi hizi na kuhakikisha wale wanaohusika wanawajibishwa na kuepuka kuzificha au kuzipuuza.”

Mwaka 2014, Serikali ya Tanzania iliingia makubaliano na t kampuni ya Mgodi wa Dhahabu ya North Mara ya kulinda mgodi huo kwa kuwa na hadi maafisa wa polisi 110, wanaojulikana na wanajamii kama “polisi wa mgodi”. Vikundi vya haki za binadamu na wanajamii wameripoti kwamba kufuatia makubaliano haya maafisa wa polisi wamehusishwa na kuwapiga, kuwafyatulia risasi, kuwatesa na kuwaweka kuzuizini bila kuwashitaki wakazi wa maeneo karibu na mgodi.

Polisi wanawatuhumu wakazi s kwa uwizi katika mgodi na maeneo yanayozunguka sehemu ya kutupa taka zitokanazo na uchimbaji katika mgodi.

Barrick Gold, kampuni ya madini yenye makao makuu yake Toronto, Canada na serikali ya Tanzania kwa pamoja wanamiliki mgodi wa Dhahabu wa North Mara tangu mwaka 2019. Eneo hili ni makazi ya Wakurya ambao wamekuwa wakifanya shughuli za uchimbaji mdogo katika ardhi hiyo kwa karne kadhaa. Mwaka 2022, Watanzania 21 waliwashitaki Barrick Gold kwenye mahakama nchini Canada, wakiituhumu kampuni hiyo kushiriki katika mauaji ya kiholela na kupigwa kwa wakazi kunakofanywa na polisi wanaolinda mgodi.

Wanadai kuwa kampuni imebadilisha wanaofanya kazi ya ulinzi mgodini “kuwa kikosi binafsi kinachobeba silaha nzito.” Kesi hii imepangwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza mwezi Oktoba.

Katika miezi minne iliyopita vifo na majeruhi kadhaa vimeripotiwa ambapo hakuna mtu aliyekamatwa. Polisi waliripotid kuwa mnamo Februari 28, Jackson Nyamonge, miaka 28 mkazi wa Kijiji cha Nyamwaga alikutwa amefariki katika uzio wa mgodi akiwa na majeraha kifuani na tumboni. Mnamo Aprili 7, vyombo vya Habari viliripoti kuwa polisi walimfyetulia risasi Sylvester Sobhe Marwa Nyangige iliyompata kichwani wakati wa operesheni ya ulinzi mgodini.

Nakala ya fomu ya polisim, iliyoonekana na Human Rights Watch inaeleza “kifo kisicho cha kawaida” kama mazingira ya kifo chake. Mwezi Aprili 26, polisi wanadaiwa kumfyetulia risasi na kumjeruhidmguuni Pascal Malembara katika eneo la Murwambe.

Mnamo Mei 6, polisi walithibitisha kifo cha Emmanuel Nyakorenga, mkazi wa Kijiji cha Kewanja katika shule ya msingi karibu na Kijiji cha Nyabigena, eneo karibu na mgodi. Polisi walivieleza vyombo vya habaria kuwa alikuwa sehemu ya kikundi cha watu waliokuwa na “silaha za jadi” ambao waliwashambulia maafisa wa polisi ambao walikuwa wanawazuia kuingia eneo la mgodi kinyume cha sheria.

Shuhuda mmoja alielezea mauaji ya Nyakorenga, aliwaeleza Human Rights Watch kuwa muda wa saa kumi na mbili jioni, polisi walionekana wakiwakimbiza watu kadhaa kutoka eneo la Gokona karibu na mgodi kuelekea viwanja vya michezo vya Shule ya Msingi Nyabigena, takribani mita 500 kutoka mgodini.

Polisi wanadaiwa waliwafyatulia watu hao mabomu ya machozi, mabomu ya sauti na risasi za moto na kuwajeruhi baadhi yao.
Muda mchache baada ya Nyakorenga kufyatuliwa risasi, maafisa wa polisi waliondoka na wakazi wa eneo hilo waliweka vizuizi barabarani karibu na shule kupinga mauaji ya Nyakorenga. Baadae polisi walirudi na kuwatawanya watu, kwa kutumia mabomu ya machozis. Ndugu wa Nyakorenga d walisema kuwa ripoti ya uchunguzi baada ya kifo ilikuta kitu kilichoonekana kama risasi kichwani kwake lakini maafisa waliofanya uchunguzi huo hawakuwapa taarifa zaidi.

Tangu Mei 6, wakazi wameripoti vifo vya angalau watu wengine watatu katika eneo hilo. Siku moja baada ya kifo cha Nyakorenga, wakazi waliripoti kuwa walipata mwili wa mtu mwingine asiyefahamika ukiwa katika eneo la kutupa taka za mgodi nje ya eneo la mgodi. Mwezi Mei 22, vyombo vya habari viliripoti d kuwa Babu Christopher Iroga mkazi wa Kijiji cha Mjini Kati na July Mohali mkazi wa Kijiji cha Nyangoto waliuwawa wakati wa majibizano na polisi. Polisi waliwatuhumu watu hawa kwa wizi katika mgodi.

John Heche, mbunge wa zamani wa Wilaya ya Tarime aliiambia Human Rights Watch kuwa unyanyasaji wa polisi umekithiri katika miaka ya karibuni, akisema: “Kwa miaka kadhaa vifo hivi vimekuwa vikitokea lakini sio kwa kiwango hiki. Watu wanafyetuliwa risasi karibu kila siku.”

Barrick Gold ilisema katika majibu yake ya Juni 11 e ya maombi ya taarifa kutoka Human Rights Watch ya Juni 4 kuwa kampuni “haina na haiwezi kuwa na udhibiti wowote juu ya polisi na vitendo vyao,” na kwamba “polisi huombwa kuingia eneo la mgodi kutoa msaada wa kusimamia sheria na utulivu” pale maisha ya wafanyakazi yanapokuwa hatarini. Kampuni ilisema kuwa “hawahusiki kwa hali yoyote au kufahamu kuhusu vitendo vya [Jeshi la Polisi la Tanzania] katika jamii, na haiwezi kuwajibika kwa vitendo hivyo kwa kuwa tu vitendo hivyo vinafanyika eneo lililo karibu na Mgodi wa Dhahabu wa North Mara.”

Sera ya haki za binadamuy ya Barrick Gold inaeleza kuwa “hatutovumilia uvunjifu wa haki za binadamu unaofanywa na wafanyakazi wetu, washirika wetu au wahusika wowote wanaofanya kazi kwa niaba yetu au wanaohusika na neo lolote katika shughuli zetu,” na kwamba inafanya “jitihada zote kuepuka kuhusika katika madhara ya uvunjifu wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na kufaidika na vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu unaofanywa na wengine.”

Chini ya Kanuni za Miongozo za Umoja wa Mataifa kuhusu Biashara na Haki za Binadamu, kampuni zinawajibu wa kuepuka kusababisha au kuchangia uvunjifu wa haki za binadamu na kutoa fidia kwa waathirika wa unyanyasaji waliosababisha au kuchangia.

Kanuni za Msingi za UN kuhusu Matumizi ya Nguvu na Silaha za Moto kwa Maafisa Wanaosimamia Utekelezaji wa Sheria zinawataka polisi kutumia njia zisizokuwa za nguvu kabla ya kuamua kutumia nguvu na silaha za moto. Wajibu wa maafisa wanaosimamia sheria ni kulinda mali na maisha, na wanapaswa kutumia nguvu pale tu inapolazimu na kwa kiasi na kutumia nguvu za ziada pale tu inapokuwa ni lazima kufanya hivyo ili kuokoa maisha.

“Kwa miaka mingi wakazi wa maeneo ya karibu na Mgodi wa Dhahabu wa North Mara nchini Tanzania wamelalamika kuhusu ukatili unaofanywa na polisi,” alisema Nyeko. “Serikali ya Tanzania haina budi kuhakikisha upelelezi huru na usio na upendeleo kuhusu unyanyasaji huu ili waathirika na familia zao wapate haki.”
 

Mining Watch Canada ni NGO inayo fuatilia maswala ya madini hasa ukiukwaji wa haki za bibadamu, rushwa na maswala mwengine. Hii NGO iko Canda na BARICK ni kampuni ya Canada.​

View attachment 3106648
Sasa Mining Watch ya Canada inakili kwenye utafiti wao walio ufanya North Mara kwamba Barick ambayo ni ya Canada ilifanya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu wakati wa upanuzi wa mgodi wao kule North Mara. Hawa ni Mabeberu wanasema Mabeberu wenzao wa Barick walikiuka sheri.

Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora Tanzania wanakana report ya Mining Watch, maana yake Mining Watch ni waongo wanaisingizia bure Kampuni ya kwao.

Hii tume sijajua wametembezewa bahasha za kiasua gani ila huu ni ujinga wa kiwangi cha juu kabisa.

Bado tunakenua meno kuwoana Mabeberu hawana maana kumbe maadui zetu ni watu wengine kabisa.
View attachment 3106649


View attachment 3106651


View attachment 3106654
Waadhibiwe tu
 
Hiyo time ni wabongo wenzetu, ni wajinga na Wala Rushwa.

Suala la huo Mgodi liko wazi, Kuna miaka Ile Mgodi ulitiririsha maji sumu kwenye mto, Samaki wakafa, Wananchi wakafa, wengine wakapat magonjwa ya Ngozi, Ini, Kansa.

Kuna waziri alienda kufanya ziara huko, wahuni wakampeleka Njia isiyo ili kuficha madudu ya mgodi.

Kwa hiyo usishangae, hapo tayari welambishwa Asali.
 

Mining Watch Canada ni NGO inayo fuatilia maswala ya madini hasa ukiukwaji wa haki za bibadamu, rushwa na maswala mwengine. Hii NGO iko Canda na BARICK ni kampuni ya Canada.​

View attachment 3106648
Sasa Mining Watch ya Canada inakili kwenye utafiti wao walio ufanya North Mara kwamba Barick ambayo ni ya Canada ilifanya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu wakati wa upanuzi wa mgodi wao kule North Mara. Hawa ni Mabeberu wanasema Mabeberu wenzao wa Barick walikiuka sheri.

Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora Tanzania wanakana report ya Mining Watch, maana yake Mining Watch ni waongo wanaisingizia bure Kampuni ya kwao.

Hii tume sijajua wametembezewa bahasha za kiasua gani ila huu ni ujinga wa kiwangi cha juu kabisa.

Bado tunakenua meno kuwoana Mabeberu hawana maana kumbe maadui zetu ni watu wengine kabisa.
View attachment 3106649


View attachment 3106651


View attachment 3106654
Never underestimate the power of an envelope ✉️ packed with shekeli inside!!
 
Kule Bulyanhulu wananchi wamefurahi sana baada ya kusikia General Manager anayekuja ni mzungu kuliko Mtanzania aliyekuwapo. Maana walifahamu kabisa haki zao stahiki hawatazipata
 
Back
Top Bottom