COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Huku milembe kubwa hatujawahi pokea file la huyo labda milembe ndogo mkuu maana kule hupokelewa wale wasiojitambua kabisaaaaaaaaKweli una file milembe
Huku milembe kubwa hatujawahi pokea file la huyo labda milembe ndogo mkuu maana kule hupokelewa wale wasiojitambua kabisaaaaaaaaKweli una file milembe
MazoeziNi kwamba mlikua hamna nauli au ilikuaje? Maana hiyo distance ni ndefu sana, nampa pole sana wifi yetu maana alichopitia hatosahau maishani mwake
Umaskini siyo mzuriWakuu
Kama nilivosema hapo juu mimi huwezi kunifucha kitu msione nimekaa kimya lakini mambo ya safari za kutoka Dar hadi chalinze naujua na kila kitu nakijua.
Mimi nilitembea na mke wangu kutoka kimara tukaenda hadi mlandizi tukakosa pa kulala, tukasogea hadi Ruvu mdaula yote yani huwezi kunificha mimi hayo maeneo yote nayajua sana sema tu naamua kukaa kimya, au mnabisha niendelee?
UMASKINI wa Nini mkuu,maana umegawanyika katika nyanja nying.Umaskini siyo mzuri
Landizi ndoo mkamuona Yesu na mke wake ? ,tueleze vizuri mkuuu.Wakuu
Kama nilivosema hapo juu mimi huwezi kunifucha kitu msione nimekaa kimya lakini mambo ya safari za kutoka Dar hadi chalinze naujua na kila kitu nakijua.
Mimi nilitembea na mke wangu kutoka kimara tukaenda hadi mlandizi tukakosa pa kulala, tukasogea hadi Ruvu mdaula yote yani huwezi kunificha mimi hayo maeneo yote nayajua sana sema tu naamua kukaa kimya, au mnabisha niendelee?
Wachache wamekuelewa mkuuSema kibaya zaidi tulikosa lodge ya kulala pale Ruvu
Landizi ndoo mkamuona Yesu na mke wake ? ,tueleze vizuri mkuuu.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Wachache wamekuelewa mkuu
Na inatupasa tuwe waadilifu hasa 😥😥😥Sisi tunafuata maneno ya viongozi wetu wakishasema yesu alikua na mke wewe nani hadi upinge
Na huo upara wako mbona unang'ara sana unaupakaga mini?,halafu kuna kipindi ulienda india kulikuwa na ishu gani kule mleta mada?
Arovera! Arovera aaaa! Shauri yakoAnzia India, pakistani hadi Afghanstan umbali wote huo naujua na kila kitu nakijua
Watu hawaelewi ndio maana tunaletewa Tozo za kufa mtu..Wachache wamekuelewa mkuu
Nasikia ulizaliwa Ruvu mdaula! Mbele nyuma, nyuma mbele, nyuma nyuma, mbele mbele. Ungechelewa siku moja tu ungekuta jirani yako katembea na mke wako.Wakuu
Kama nilivosema hapo juu mimi huwezi kunifucha kitu msione nimekaa kimya lakini mambo ya safari za kutoka Dar hadi chalinze naujua na kila kitu nakijua.
Mimi nilitembea na mke wangu kutoka kimara tukaenda hadi mlandizi tukakosa pa kulala, tukasogea hadi Ruvu mdaula yote yani huwezi kunificha mimi hayo maeneo yote nayajua sana sema tu naamua kukaa kimya, au mnabisha niendelee?