kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,990
- 17,879
Bora nisiwe mzalendo kama tunaishi chini ya mambo ya hovyo hovyo tu
Tuna kitambulisho cha mpiga kura na kinatambulika vizuri tu sasa shida iko wapi mpaka iwe ni lazima kutumia vya NIDA? Kama sio kuchoshana tu na kuwaumiza na kuwakamua wananchi?
Hii nchi ina mambo ya hovyo hovyo tu yanayotendwa na awamu hii ambayo sio lazima bali upotevu wa muda tu na rasilimali
Hivi kweli kuna haja gani kama mtu keshasajili line na kitambulisho chake cha mpiga kura uje umuhangaishe tena sijui na alama za vidole na NIDA?
Mambo mengine ni ya hovyo tu na kuchoshana
Jambo lingine niloshangaa ni kipindi kile tcra wanahangaika kuzima simu feki?hapa walinufaika na nini na kama sio misifa tu na kupoteza muda
Halafu anajitokeza mtu ananiambia niwe mzalendo!!!
Uzalendo gani?my foot!!!
Tuna kitambulisho cha mpiga kura na kinatambulika vizuri tu sasa shida iko wapi mpaka iwe ni lazima kutumia vya NIDA? Kama sio kuchoshana tu na kuwaumiza na kuwakamua wananchi?
Hii nchi ina mambo ya hovyo hovyo tu yanayotendwa na awamu hii ambayo sio lazima bali upotevu wa muda tu na rasilimali
Hivi kweli kuna haja gani kama mtu keshasajili line na kitambulisho chake cha mpiga kura uje umuhangaishe tena sijui na alama za vidole na NIDA?
Mambo mengine ni ya hovyo tu na kuchoshana
Jambo lingine niloshangaa ni kipindi kile tcra wanahangaika kuzima simu feki?hapa walinufaika na nini na kama sio misifa tu na kupoteza muda
Halafu anajitokeza mtu ananiambia niwe mzalendo!!!
Uzalendo gani?my foot!!!