KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Jamani ee mimi ni mtanzania halisia baba yangu mzawa wa Morogoro, halaf mama yangu mzawa wa Kihagara, Mbinga huko ziwa Nyasa jimbo la gamba Komba. Kifupi mimi imani yangu inakuwa ndogo sana na hawa ndugu zetu wahindi kwa ushawishi wa vitu vifuatavyo
1. Sio watu wa kujichanganya hata kwa kuzaa na waswahili na ikitokea mmoja amepotoka basi watamtenga.
2. Sijawahi kuona muhindi amenunua kiwanja na kujenga makazi ya kudumu zaid ya kupangapanga tu hata kama wana uwezo.
3. Wanakua na mijumuiko mikubwa ambayo wanaiita ya kiimani.
4; na muhimu. Wanakuwa na kama hasira flan na watu weusi hasa waswahili zaidi dada zetu mahausigel mpaka inatia woga halaf muhindi hata azaliwe Kariako bado hawana umuhimu na kiswahili ya mkono anaita kono. Mi nahisi labda lile AZIMIO LA ARUSHA lisije likatuzalishia visasi jamani hebu wenzangu mnafikiria je?
1. Sio watu wa kujichanganya hata kwa kuzaa na waswahili na ikitokea mmoja amepotoka basi watamtenga.
2. Sijawahi kuona muhindi amenunua kiwanja na kujenga makazi ya kudumu zaid ya kupangapanga tu hata kama wana uwezo.
3. Wanakua na mijumuiko mikubwa ambayo wanaiita ya kiimani.
4; na muhimu. Wanakuwa na kama hasira flan na watu weusi hasa waswahili zaidi dada zetu mahausigel mpaka inatia woga halaf muhindi hata azaliwe Kariako bado hawana umuhimu na kiswahili ya mkono anaita kono. Mi nahisi labda lile AZIMIO LA ARUSHA lisije likatuzalishia visasi jamani hebu wenzangu mnafikiria je?