dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,399
- 19,417
PoleniMwnye dawa jmn naomba anisaidie. Mimi nmeolewa naishi na mume wangu huu ni mwaka wa tatu bdo hatujabahatika kupata mtoto. Anaejua dawa naomba anishauri.
Hosptal tumeshaenda
Damu yako na yake ni group gani?