kama umewahi kusoma kitabu cha mfalme juha basi utakubaliana nami kwamba kutojua au kujua na kuamua kwa maksudi kuacha kuzifuata na kuzitekeleza sheria za nchi ndiyo ilikuwa chanzo cha mfalme kwa hiari yake kuamua kunyongwa.
kama hujasoma kitabu hiki nakushauri kitafute usome. washauri wa Lowasa kama wapo basi hawasikilizwi na kama wanasikilizwa basi wanashauri ujinga kila siku. hivi inaingia aikilini leo unasema hakuna kuweka X kwenye nyumba kesho unageuka kwamba hizo X hazihusiani na kauri yako?
maana yake nini? ni kwamba kila mahali kauri itokayo hapo ni ya hapo tu na haina mahusiano na sehemu nyingine za nchi. ikiwa PM ndo mwenye maamuzi haya basi subirini yananyokuja. nchi ya kichaa hii hapa.
kama hujasoma kitabu hiki nakushauri kitafute usome. washauri wa Lowasa kama wapo basi hawasikilizwi na kama wanasikilizwa basi wanashauri ujinga kila siku. hivi inaingia aikilini leo unasema hakuna kuweka X kwenye nyumba kesho unageuka kwamba hizo X hazihusiani na kauri yako?
maana yake nini? ni kwamba kila mahali kauri itokayo hapo ni ya hapo tu na haina mahusiano na sehemu nyingine za nchi. ikiwa PM ndo mwenye maamuzi haya basi subirini yananyokuja. nchi ya kichaa hii hapa.