Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,800
Swala la uaminifu halina uhusiano wowote na elimu.
Huyo wa darasa la saba pia anaweza asiwe mwaminifu. Msomi mwenzio pia anaweza asiwe mwaminifu.
Usioe elimu kiongozi, oa mke. Mke mwema hutoka kwa Mungu, sio darasani.
Dogo atuambie Ana master ya nini..... isije ikawa ya kushinda JF 24/7