kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
- Thread starter
- #81
Kuna kosa umelifanya ila ukijerekebisha mtaishi vizuri. Katika ndoa ili muishi vizuri suala la elimu weka pembeni, ukifika nyumbani mastaz yako iache mlangoni. Ukitoa mifano toa ya kawaida, usianze unajua kuna PHILOSOFA mmoja au kuna PROFESA mmoja hapo ndoa itakuwa ndoana. Pangeni mambo yenu kwa kushirishana, cha msingi mfanye ajiamini kuwa wewe ni wake. Hata akikosea mrekebishe usihusishe kukosea kwake na elimu yake
sawa mkuu. asante kwa ushauri