barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
- Thread starter
- #41
Mkuu hali hii hata mimi nimeshuhudia kwa macho yangu,ukienda pale Ubungo Hostel eneo la kusomea ndio utajua ukweli wa hili jambo.Mama anapoanza kubana,watu wanaanza kupiga mayoweKIWANGO CHA ELIMU KIMESHUKA KULIKO TUNAVYODHANIA. WATU WANA VYETI ELIMU HAWANA. RAFIKI YANGU AMEMALIZA MASOMO YA DARASANI, MASTERS, LAKINI THESIS KAANDIKIWA NA MTU KWA GHARAMA YA MILIONI MBILI. ILIPOPELEKWA KWENYE SOFTWARE KUANGALIA WIZI IKAKUTWA KAIBA(PLAGIARISE) 90%. HUYU MWANAFUNZI NI KILAZA HANA MFANO NASHANGAA TESTS NA HOMEWORKS ALIKUWA ANAPITA VIPI. LAKINI VILE VILE WAPO WATU WANAISHI KWA KUJIBU HOMEWORKS ZA WANAFUNZI (HASA WA MASTERS) KWA MALIPO.
NDALICHAKO SONGA MBELE