Mimi nililima mhogo niliuza kwa jitihada zangu mwenyewe baada ya hii taasisi ya MKIKITA kuniacha hewani

wakurochi

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
2,647
2,937
Kichwa cha habari kinahusika sana tu na ninalotoka kubandika hapa.

Kwenye ma group kadhaa Taasisi ya MKIKITA wako "aggressive " na matangazo kemkem kwamba ukiingia nao mkataba kuhusu mhogo utatoka. Wamekokotoa mahesabu kwamba kwasababu wao ni watalaam na wana uzoefu hawaoni sababu kwanini usipate kg 20 kwa shina moja ambayo katika miche 4000 kwa eka utaona ni pesa nzuri.

Mimi na wengine wengi tu tulilizwa na hiyo taasisi pamoja na kusain mikataba na pia alishafikishwa kwa DC temeke mara mbili huyo kuongozi wao na alirejesha baadhi ya pesa. Mpaka sasa anadaiwa na watu kibao kihusu longolongo kwenye miradi ya mhogo kuku na papai na mchachai.

Mimi nililima mhogo niliuza kwa jitihada zangu mwenyewe baada ya hii taasisi kuniacha hewani pamoja na mikataba na gharama kibao za ufuatiliaji shamba na utalaam.

inatosha najua uongozi wa mkimkia mpo humu na hii ni habari mbaya kwenu mtajaribu kuyeyusha lakini haiwezekani muendelee Kuwaingiza watu mkenge
 
Kichwa cha habari kinahusika sana tu na ninalotoka kubandika hapa.

Kwenye ma group kadhaa Taasisi ya MKIKITA wako "aggressive " na matangazo kemkem kwamba ukiingia nao mkataba kuhusu mhogo utatoka. Wamkokotoa mahesabu kwamba kwasababu wao ni watalaak na wana uzoefu hawaoni sababu kwanini usipate kg 20. Kwa shina moja. Ambayo katika miche 4000 kwa eka utaona ni pesa nzuri.

Mimi na wengine wengi tu tulilizwa na hiyo taasisi. amoja na kusain mikataba na pia alishafikishwa kwa DC temeke mara mbili huyo kuongozi wao na alirejesha baadhi ya pesa. Mpaka sasa anadaiwa na watu kibao kihusu longolongo kwenye miradi ya mhogo kuku na papai na mchachai.

Mimi nililima mhogo niliuza kwa jitihada zangu mwenyewe baada ya hii taasisi kuniacha hewani pamoja na mikataba na gharama kibao za ufuatiliaji shamba na utalaam.

inatosha najua uongozi wa mkimkia mpo humu na hii ni habari mbaya kwenu mtajaribu kuyeyusha lakini haiwezekani muendelee Kuwaiti waru mnkenge

Asante kwa kutupa mrejesho na tahadhali , hizi taasisi nyingi ni ubabaishaji tu na kugeuza watanzania wenzao kuwa fursa. Tukome kufuata mteremko, kumbuka watu wa kawaida ambao hawajaenda shule wanafanikiwa kibiashara pasipo kuhudhiria semina za ujasiriamali. Watu tusmke tufanye kazi pasipo kusiamini propaganda za kikaghai ambazo mwishowe tunalizwa
 
Hivi lile grup la mkikita 5 limekufa maana mm nilikua mwanachama ila sikulima nao na nilishanga hata kweny whatsp zao waliniondoa ,tatizo la Adam Mgamang ana tamaa mno kila siku anazindua mirad mala mihogo mala viazi lishe n.k n.k yaani hasimami na kitu ki1 na akifikishe mwisho
 
Kichwa cha habari kinahusika sana tu na ninalotoka kubandika hapa.

Kwenye ma group kadhaa Taasisi ya MKIKITA wako "aggressive " na matangazo kemkem kwamba ukiingia nao mkataba kuhusu mhogo utatoka. Wamkokotoa mahesabu kwamba kwasababu wao ni watalaak na wana uzoefu hawaoni sababu kwanini usipate kg 20. Kwa shina moja. Ambayo katika miche 4000 kwa eka utaona ni pesa nzuri.

Mimi na wengine wengi tu tulilizwa na hiyo taasisi. amoja na kusain mikataba na pia alishafikishwa kwa DC temeke mara mbili huyo kuongozi wao na alirejesha baadhi ya pesa. Mpaka sasa anadaiwa na watu kibao kihusu longolongo kwenye miradi ya mhogo kuku na papai na mchachai.

Mimi nililima mhogo niliuza kwa jitihada zangu mwenyewe baada ya hii taasisi kuniacha hewani pamoja na mikataba na gharama kibao za ufuatiliaji shamba na utalaam.

inatosha najua uongozi wa mkimkia mpo humu na hii ni habari mbaya kwenu mtajaribu kuyeyusha lakini haiwezekani muendelee Kuwaiti waru mnkenge

Hili limekuwa ni janga
Miradi mingi ya vikundi imeshindwa kabisa
kikubwa ni watu kuwa na mawazo mazuri, mradi tu unapoanza mbeba maono anawakwa na TAMAA
Kuna hawa MKIKITA/BUNGE LA UCHUMI, NA WENGINEO wamewaliza saana watu, wamekusanya pesa za watu mwishowe hakuna kilichoendelea....Uaminifu kwa baadhi ya watanzania ni kitu kigumu saana

USHAURI WANGU::::Unganeni watu kuanzia watano ambao mna Interest zinazofanana mfano kama mnataka lima Nyanya/kitunguu/papai/mhogo.....NUNUENI shamba eneo moja...kila mtu ananunua la KWAKE...kila mtu alime kuendana na budget yake....THEN ajirini manager...mtengenezeeni mkataba...memeber muwe mnachangia mshahara wa manager..ktk kulihudumia shamba kila member ahudumie shamba lake kupitia kwa manager kwa kiasi alicholima>...Hii inaweza punguza hizi lawama

haya mawazo yalitakiwa yaibuliwe na VYAMA VYA USHIRIKA, Mwalimu hakuwa MJINGA kuanzisha chuo cha ushirika MOSHI...Kile chuo kilitakiwa kizipatie UFUMBUZI Hizi changamoto....kinachosikitisha mpaka sasa,,,,chuo kimefanya elimu sasa kama biashara..kinatoa programme ambazo aziendani na kusudio la kuanzishwa kwake

Anyaway BADO TUNAYOSAFARI NDEFU SAANA kuanza kulima kibiashara wachina walishauona huu ubabaishaji wetu na wao sikuhizi wameomba mashamba wanalima wenyewe
 
Aisee pole sana mkuu. Mimi hawa niliwashtukia muda mrefu. Nilikuwa tayari nishajiunga ila sikuwa nimelipia project yoyote. Basi nikaona heri nitumie akili kuliko kuaminishwa. Kwanza nikaanza kuuliza kwenye magroup yote kama mtu ana uzoefu wowote yaani testimonials za kufanya kazi na hawa jamaa. Ila ikawa kimya.

Nikaanza kuogopa maana hata wale ma admin walikuwa wana -mute. Nikasema nijiingize kwenye kilimo cha uyoga nikawaomba namba ya mtaalam. Ma admin hawakunipa. Nikahangaika mwenyewe hadi kupata namba ya huyo gwiji, Bi Catherine. .. aisee niliomba appointments kuonana naye kiasi nikaghairi na taarifa zote nikazitafutia mtandaoni.

Mwisho wa siku nikafikia hitimisho kuwa hawa watu ni matapeli kama walivyo Namaingo. Au wale wa mradi wa Sungura. Nikajitoa kwenye groups zao kiroho safi
 
Kichwa cha habari kinahusika sana tu na ninalotoka kubandika hapa.

Kwenye ma group kadhaa Taasisi ya MKIKITA wako "aggressive " na matangazo kemkem kwamba ukiingia nao mkataba kuhusu mhogo utatoka. Wamkokotoa mahesabu kwamba kwasababu wao ni watalaak na wana uzoefu hawaoni sababu kwanini usipate kg 20. Kwa shina moja. Ambayo katika miche 4000 kwa eka utaona ni pesa nzuri.

Mimi na wengine wengi tu tulilizwa na hiyo taasisi. amoja na kusain mikataba na pia alishafikishwa kwa DC temeke mara mbili huyo kuongozi wao na alirejesha baadhi ya pesa. Mpaka sasa anadaiwa na watu kibao kihusu longolongo kwenye miradi ya mhogo kuku na papai na mchachai.

Mimi nililima mhogo niliuza kwa jitihada zangu mwenyewe baada ya hii taasisi kuniacha hewani pamoja na mikataba na gharama kibao za ufuatiliaji shamba na utalaam.

inatosha najua uongozi wa mkimkia mpo humu na hii ni habari mbaya kwenu mtajaribu kuyeyusha lakini haiwezekani muendelee Kuwaiti waru mnkenge
Hata hivyo hongera sana hukukata tamaa na kwa kiasi fulani umejifunza jambo japo kwa maumivu. Swali sasa. Je unaweza kuendelea tena na kilimo cha mhogo? Na je katika kuuza kwako uliweza kurudisha faida yoyote?
 
KICHWA CHA HABARI KIMEPOOZWA NA MODS SIJUI KWA MANUFAA YA NANI.
SISI TUMETAPELIWA NINA TOA TAHADHARI WENGINE WASITAPELIWE MODS WANAANDIKA ETI NIMEEUZA KWA JITIHADA ZANGU MWENYEWE.

KUNA MODS MPUUZI HAPO JF. WATU WAMELIZWA MAMILIONI UNABADILISHAJE KICHWA KWA FAIDA YA NANI NA KESI ILIENDA MPAKA KWA DC. ADAMM NGAMANGE NDUGU YAKO WEWE MOD. MBONA MAMBO YA AJABU.

MIMI NI WHISTLE BLOWER UJUMBE WANGU NA KICHWA USIBADILISHE
 
KICHWA CHA HABARI KIMEPOOZWA NA MODS SIJUI KWA MANUFAA YA NANI.
SISI TUMETAPELIWA NINA TOA TAHADHARI WENGINE WASITAPELIWE MODS WANAANDIKA ETI NIMEEUZA KWA JITIHADA ZANGU MWENYEWE.

KUNA MODS MPUUZI HAPO JF. WATU WAMELIZWA MAMILIONI UNABADILISHAJE KICHWA KWA FAIDA YA NANI NA KESI ILIENDA MPAKA KWA DC. ADAMM NGAMANGE NDUGU YAKO WEWE MOD. MBONA MAMBO YA AJABU.

MIMI NI WHISTLE BLOWER UJUMBE WANGU NA KICHWA USIBADILISHE
Pole mm nilichomoa
 
Back
Top Bottom