toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Niseme kwa dhati kabisa bila kumung'unya maneno mimi nakubali sana utendari wa dk magufuli amefanya mambo makubwa sana na ameonyesha njia.
Mfano nzuri tu ni mradi wa Rufiji hapa nampongeza kwa moyo wangu wote hichi alichokifanya ni kikubwa sana piga ua jpm kuujenga huu mradi kaonyesha element fulani ya uzalendo ambao viongozi wengi waliukwepa huu mradi kisa mabeberu.
Nije kwa huyu mtu anaitwa Tundu Lissu.
Huyu sio binadamu wa kawaida aisee!na zaidi ya mwamba huyu mtu ni kiongozi pekee wa upinzani ambaye naweza kumuamini kwa asilimia mia moja kwamba mikononi mwake tupo salama yaani lissu hata siwezi kumuelezea daaah.
Lissu ni zaidi ya tumjuavyo ni kusudio la mungu ndoto ya kuwa rais kwa lissu haitoshindwa kamwe haijalishi itapita nini haijalishi ni uchaguzi wa mwaka gani ila lissu one day atakuja kuwa rais tu he deserve to be presdent!
Ni kiongozi pekee ambaye sio mnafiki ana akili nyingi na anaaminika yaani namuangaliaga Lissu nakosa majibu nakosa cha kuandika!
Nishasema na narudia!katika binadamu wanasiasa mtu nayeweza kumuamini kwa asilimia zote ni Lissu.
Lissu sio mwanasiasa wa kuhama hama kama wengine ni mtu asiyetetereka ni mtu ambaye anaweza kuifanya nchi ikafika kwenye level za korea kusini na singapore huyu mtu ni zaidi ya mwamba huwa nikimwangalia lissu nakosa jibu jamaa yupo kwa mpango wa mungu tu sio wa kawaida mungu kampa kitu ndani yake.
Mungu ibariki Tanzania
Mfano nzuri tu ni mradi wa Rufiji hapa nampongeza kwa moyo wangu wote hichi alichokifanya ni kikubwa sana piga ua jpm kuujenga huu mradi kaonyesha element fulani ya uzalendo ambao viongozi wengi waliukwepa huu mradi kisa mabeberu.
Nije kwa huyu mtu anaitwa Tundu Lissu.
Huyu sio binadamu wa kawaida aisee!na zaidi ya mwamba huyu mtu ni kiongozi pekee wa upinzani ambaye naweza kumuamini kwa asilimia mia moja kwamba mikononi mwake tupo salama yaani lissu hata siwezi kumuelezea daaah.
Lissu ni zaidi ya tumjuavyo ni kusudio la mungu ndoto ya kuwa rais kwa lissu haitoshindwa kamwe haijalishi itapita nini haijalishi ni uchaguzi wa mwaka gani ila lissu one day atakuja kuwa rais tu he deserve to be presdent!
Ni kiongozi pekee ambaye sio mnafiki ana akili nyingi na anaaminika yaani namuangaliaga Lissu nakosa majibu nakosa cha kuandika!
Nishasema na narudia!katika binadamu wanasiasa mtu nayeweza kumuamini kwa asilimia zote ni Lissu.
Lissu sio mwanasiasa wa kuhama hama kama wengine ni mtu asiyetetereka ni mtu ambaye anaweza kuifanya nchi ikafika kwenye level za korea kusini na singapore huyu mtu ni zaidi ya mwamba huwa nikimwangalia lissu nakosa jibu jamaa yupo kwa mpango wa mungu tu sio wa kawaida mungu kampa kitu ndani yake.
Mungu ibariki Tanzania