mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,712
Kwa kiasi flani na mm nna hz tabia thou kiukweli sizipendi I need to change coz kupitia hz tabia zimenipotezea opportunities kibao so naona n Bora kujifunza kuishi na watu vizuri inasaidia Sana
One love
Likewise napata tabu kiasi fulani kuishi na watu sababu nina tabia kama hizo. Tofauti hapo mimi sio wa totoz kiviiileee ingawa sijakwama sana.
Lakini pia ni hasara kwa upande wangu sababu napata tabu sana kulink na watu wenye potential tofauti sababu ya tabia yangu(sipendi tu kujichanganya, sipendi unijue jue pia nina aibu sana).
Jibu: Wewe ni introvert
Sent using Jamii Forums mobile app
One love