Carbondioxide
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 733
- 194
Habari JF members.
Mimi ni mwanaume wa mkoani uliza maswali kuuhusu.
1.Umri
2.Relations
3.Education level
Na mazingira yanayotuzunguka binadamu.
Nikishindwa maswali wamikoani wengine watasaidia.
Habari JF members.
Mimi ni mwanaume wa mkoani uliza maswali kuuhusu.
1.Umri
2.Relations
3.Education level
Na mazingira yanayotuzunguka binadamu.
Nikishindwa maswali wamikoani wengine watasaidia.
Mla chips wa Dar = shoga wa Mwanza.Acha kupotosha wewe ni mla chips wa dar
Wa mikoaniMwanaume wa mkoa gani wewe?
Si kweli na halina uhusiano na wanaume tunaotoka mikoani,Eti ni kweli huwa mnalima bila nguo
Mtu kula samaki si habar,lkn Samaki kula mtu ndio habar..Kwanini mnapigwa na Wanawake zenu?
Hebu liweke sawa hili ili upatiwe majibu kulingana na swali ulilo kusudiaKwann hampendi kutumia tigo
Chips huliwa karibia dunia nzima,ni internation food, hivyo si Dar pekee huliwa,Mla chips wa Dar = shoga wa Mwanza.
Sawa kabisa shoga... hujakosea sana.Chips huliwa karibia dunia nzima,ni internation food, hivyo si Dar pekee huliwa,
Shoga hii yenye maana rafiki wa karibu kwa ndugu zetu wa jinsia ya kike,
Watu wenye jinsia hiyo huwaita rafikizao wa karibu jina hilo, hata kama rafiki yake yupo kenya, atamuita shoga wakenya
Hivyo sina shaka na jinsia yako ndio sababu ukawa na shoga huko mwanza
Liweke sawa swali lako pia,ili upatiwe jawabu kulingana na ulicho kusudia kuulizaKwa nini mnabandua kama ugomvi (kama mnapigana)
Hili ndilo swali lako??Litakuwa bando limekata huyu. Mbona hajibu?
Inategemeana na majira husika na mwezi gani, kuchomoza na kuzama kwa jua hakupo constant ni DynamicUlipo giza linaingia saa ngapi? Na jua laja saa ngapi?