Mimi ni mwanahisa wa CRDB, sijapata gawio hadi leo

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Kikao cha Wanahisa wa CRDB kimefanyika siku za karibuni na mimi kama Mwanahisa sijaona gawio la mwaka huu unaotokana na uwekezaji tuliouwekeza kwenye Benki hii.

Wenzao NMB katika kikao chao cha tarehe 4 Juni, 2021 moja ya ajenda yao ni mapendekezo ya gawio kwa kila mwanahisa ambayo ni Tshs.137.00. Kama Benki zote zinafanyakazi sawa na kuwa na wateja karibu sawa mbona CRDB hawakutoa gawio mwaka huu?.

Watueleze sababu ni kwa nini hawakutoa gawio.
 
Gawio CRDB ni shs. 22 per share!
NMB gawio shs.127 per share!!
Je utendaji wa CRDB una walakini hata faida yao kuwa kiduchu hivyo kutoa gawio dogo?
 
Gawio CRDB ni shs. 22 per share!
NMB gawio shs.127 per share!!
Je utendaji wa CRDB una walakini hata faida yao kuwa kiduchu hivyo kutoa gawio dogo?
Kiutendaji CRDB ipo vizuri zaidi ya NMB by FAR!!

Usipende namba bila kupenda hesabu
Hisa moja ya NMB ni Tsh 2,400 kwa gawio la tsh 127 ni sawa na 5% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 50k
Hisa moja ya CRDB ni Tsh 235 kwa gawio la tsh 22 ni sawa na 9.3% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 93k

Nadhani nimeeleweka vizuri hapo. ikiwa unahitaji kuwekeza kimbia CRDB, NMB userekali mwingi bila hivyo hata faida wanayoipata isingekuepo.
 
Kiutendaji CRDB ipo vizuri zaidi ya NMB by FAR!!

Usipende namba bila kupenda hesabu
Hisa moja ya NMB ni Tsh 2,400 kwa gawio la tsh 127 ni sawa na 5% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 50k
Hisa moja ya CRDB ni Tsh 235 kwa gawio la tsh 22 ni sawa na 9.3% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 93k

Nadhani nimeeleweka vizuri hapo. ikiwa unahitaji kuwekeza kimbia CRDB, NMB userekali mwingi bila hivyo hata faida wanayoipata isingekuepo.
Bora niweke zangu hela UTT, gawio kwa mwaka si ni 12% hadi 16%
 
Kiutendaji CRDB ipo vizuri zaidi ya NMB by FAR!!

Usipende namba bila kupenda hesabu
Hisa moja ya NMB ni Tsh 2,400 kwa gawio la tsh 127 ni sawa na 5% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 50k
Hisa moja ya CRDB ni Tsh 235 kwa gawio la tsh 22 ni sawa na 9.3% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 93k

Nadhani nimeeleweka vizuri hapo. ikiwa unahitaji kuwekeza kimbia CRDB, NMB userekali mwingi bila hivyo hata faida wanayoipata isingekuepo.
Mimi nimekuelewa sanaaa so ukinunua hisa 1 nmb nisawa na kununua hisa 10 CRDB na chenchi kubaki!!
 
Hakuna nilikolazimishwa. Kibarua chako hapo benki hakitaota nyasi kisa nimewekeza kwingine. Wewe mbona unashawishi watu wawekeze CRDB badala ya NMB
Huwa sina hulka ya kubishana, nachofanya ni kuonesha faida iliyopo kwa crdb tofauti na nmb ila kwa kuwa umeamua kuset mind yako kwamba nakushawishi ununue crdb basi nunua nmb ili uwe against na mimi then utakua umeshinda.
 
Kiutendaji CRDB ipo vizuri zaidi ya NMB by FAR!!

Usipende namba bila kupenda hesabu
Hisa moja ya NMB ni Tsh 2,400 kwa gawio la tsh 127 ni sawa na 5% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 50k
Hisa moja ya CRDB ni Tsh 235 kwa gawio la tsh 22 ni sawa na 9.3% (ROI) Ungekua umewekeza 1M faida ni 93k

Nadhani nimeeleweka vizuri hapo. ikiwa unahitaji kuwekeza kimbia CRDB, NMB userekali mwingi bila hivyo hata faida wanayoipata isingekuepo.
Mkuu samahani unasema kama mtu akiweka 1M gawio anaweza pata 50000 au 93000 hii ni kwa mwaka au mwezi?

Kama ni kwa mwaka acha tu niendelee kuuza vocha maana kwa mwaka nitakuwa na faida kubwa kuliko 50000 au 93000.
 
  • Kicheko
Reactions: rr3
Biashara ya share ni biashara ya watu wenye pesa Ila wavivu wa kuwekeza
 
Mkuu samahani unasema kama mtu akiweka 1M gawio anaweza pata 50000 au 93000 hii ni kwa mwaka au mwezi?

Kama ni kwa mwaka acha tu niendelee kuuza vocha maana kwa mwaka nitakuwa na faida kubwa kuliko 50000 au 93000.
Kuna namna nyingi za kufika 'mjini ' bro! Tumia unayoipenda
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom