Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,439
- 2,689
M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran sana mkuu na Mungu akubariki.Mkuu. Hakikisha mpaka unamaliza chuo una vibanda/frame 3 za tigopesa na mpesa kwenye high traffic areas. Thank me later
Sent using my Nokia Torch
Asante mkuu kwa ushauri ndugu. Changamoto ninayoipata ni kupata zile tuition centers, au hata shule ya kufundisha hayo masomo coz baada ya kumaliza six nilifundisha hayo masomo kuanzia form one hadi six pale musoma ila kwa hapa Dar bado napata shida ya kupata connection itakayoniwezesha kupata hiyo nafasi, maana najua nikipata tu basi uwezekano wa kuendeleza au hata kuja kuanzisha tuition center yangu haitokuwa shida mkuu.watoto weng hawajui hesabu..fanya kuwa fursa hyo
Asante mkuu kwa ushauri ndugu. Changamoto ninayoipata ni kupata zile tuition centers, au hata shule ya kufundisha hayo masomo coz baada ya kumaliza six nilifundisha hayo masomo kuanzia form one hadi six pale musoma ila kwa hapa Dar bado napata shida ya kupata connection itakayoniwezesha kupata hiyo nafasi, maana najua nikipata tu basi uwezekano wa kuendeleza au hata kuja kuanzisha tuition center yangu haitokuwa shida mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa. Nitalifanyia kazi kadiri ya uwezo.Kwa kuangalia tu ww una asili ya uvv..shule zote hizo dar...mie nimekaa dar 1 month..kuna katoto nikawa naishi nako kao form1..hakajui kbs hesabu.nikaanza kukafundisha kila siku nkitoka kwenye mishe.kifup akawaleta wenzake wa4.ww unashindwa nn kutafta?tena masomo ya science unalamba bingo.fanyia hapo hpo unapoishi...tafuta denti 1 mfundshe ataleta na wengine
Mkuu nimekusoma sana. Asante sana ndugu.Sikia dogo. Wewe jitolee bure kukafudisha katoto kamoja. Chagua kavulana ili usionekane una interest tofauti. Kisha baada ya siku kadhaa unakaambia kama kuna wenzake waje pia. Wakishakuwa wengi....nenda shule ya serikali mtafute mkuu wa shule....au mwalimu mkuu. Akuazime/kikodishe darasa 1 tu. Pambana kupata shule iliyo sehemu nzuri. Unaweza fanya pindi jero tu. Pindi la maana. Yangu ni hayo.
Sent using my Nokia Torch
Sikia dogo. Wewe jitolee bure kukafudisha katoto kamoja. Chagua kavulana ili usionekane una interest tofauti. Kisha baada ya siku kadhaa unakaambia kama kuna wenzake waje pia. Wakishakuwa wengi....nenda shule ya serikali mtafute mkuu wa shule....au mwalimu mkuu. Akuazime/kikodishe darasa 1 tu. Pambana kupata shule iliyo sehemu nzuri. Unaweza fanya pindi jero tu. Pindi la maana. Yangu ni hayo.
Sent using my Nokia Torch
Namna ya kupata hao watoto ndio changamotowatoto weng hawajui hesabu..fanya kuwa fursa hyo
Namna ya kupata hao watoto ndio changamoto
Vizuri,tengeneza partnership soko lipatikane,mtoa mada aje afanye kipindi.Mgawane salioHakuna ugumu ht kidg..mie ningekuwa nabarikiwa kufundisha ningepata wengi bsana..sema sina upenzi huo zaidi ya kupenda tu hesabu
Ha ha ha ha hakuna anayependa mateso ya jembe la mkonoUnajua kulima?
Asante mkuu kwa idea hii, ngoja nijaribu mchek huyu dadaVizuri,tengeneza partnership soko lipatikane,mtoa mada aje afanye kipindi.Mgawane salio
Ha ha ha ha hakuna anayependa mateso ya jembe la mkono
Acha papara na tamaa za kimaisha kijana ,soma kwanza hayo mengine yatafuata baadaye.Binafsi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo, nachukua Bachelor of Science in industrial engineering. Kwasasa nipo likizo na nilikuwa naomba kazi yoyote ile itakayopatikana iwe ya kitaaluma au isiyo ya kitaaluma, lakini pia nipo tayar kufanya as full time job ndani ya likizo hii ila as a part time job baada ya kufungua chuo.
UWEZO NA UZOEFU WANGU.
1. Kufundisha physics na mathematics kuanzia form one hadi form six.
2. Ucheshi.
3. Kujiamini.
4. Kusimamia semina na makongamano mbalimbali.
5. Uandaaji wa ripoti za kikazi.
6. Uwezo wa kutumia computer.
7. Kuongea na kuandika kiingereza na kiswahili.
8. Uwezo mzuri wa kuwasiliana na watu pamoja na kusimamia biashara na shughuli zingine.
9. Uwezo wa kufanya kazi ngumu yoyote. Kwa mfano ujenzi, uchimbaji na ubebaji wa mzigo.
10. Uwezo wa kusimamia na kuongoza watu kuanzia mia tatu.
Napatikama ubungo Dar es salaam, kwa mawasiliano 0752026992.
Kwa kazi zitakazohitaji CV, ipo tayari na muda wowote kazi itakapopatikana naweza ituma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda pale mwenge mapambano Kuna tuition centres nyingi sana,ukijieleza vizur watakuelewa tu na watakupima uwezo wako Kama unajua.Asante mkuu kwa ushauri ndugu. Changamoto ninayoipata ni kupata zile tuition centers, au hata shule ya kufundisha hayo masomo coz baada ya kumaliza six nilifundisha hayo masomo kuanzia form one hadi six pale musoma ila kwa hapa Dar bado napata shida ya kupata connection itakayoniwezesha kupata hiyo nafasi, maana najua nikipata tu basi uwezekano wa kuendeleza au hata kuja kuanzisha tuition center yangu haitokuwa shida mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app