Mimi ni mwanafunzi niliemalza kidato cha sita na kufanikiwa kuingia chuo kikuu ila nsina uwezo

May 22, 2012
43
1
mimi ni mwanafunzi niliechaguliwa kuingia chuo kikuu cha ifm kuchukua degree lakini sina uwezo kwa sasa na hata mkopo sikubahatika kupata baba yangu alikwisha faliki miaka mingi liyopita na mama yangu amepunguzwa kwenye ajira yake hivyo nilikuwa nnapenda kuchukua fulsa hii kuomba msaada wa mawazo na pia ajira kama nitafanikiwa kupata kwa kweli na kama ikiwezekana jioni baada ya vipindi vyangu au au hata cku amabzo nakuwa sina vipindi ili niweze kujisaidia na kujisongesha na maisha yangu nashukuru kwa kunisikiliza
 
kama uwezo hauna nenda vyuo vya ualimu wanapokea hadi kesho, ila gharama za elimu ya juu ni kubwa utafeli kwa mawazo. wewe unaomba part time wakati watu hawana ajira kibao mtaani.
 
mimi ni mwanafunzi niliechaguliwa kuingia chuo kikuu cha ifm kuchukua degree lakini sina uwezo kwa sasa na hata mkopo sikubahatika kupata baba yangu alikwisha faliki miaka mingi liyopita na mama yangu amepunguzwa kwenye ajira yake hivyo nilikuwa nnapenda kuchukua fulsa hii kuomba msaada wa mawazo na pia ajira kama nitafanikiwa kupata kwa kweli na kama ikiwezekana jioni baada ya vipindi vyangu au au hata cku amabzo nakuwa sina vipindi ili niweze kujisaidia na kujisongesha na maisha yangu nashukuru kwa kunisikiliza

Jaribu kwenda kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya iliyo karibu nawe (itafaa ukienda na mama yako) ukajieleze. Kuna utaratibu wa kuandikiwa barua wanafunzi wanaotoka kwenye mazingira kama yako (at least ulikuwepo miaka kadhaa iliyopita) kwenda bodi ya mikopo ambako itapewa uzito zaidi. All the best mdogo wangu.
 
pole dogo nichangamoto ambazo ili ufanikiwe lazima uzipitie.usikate tamaa ni mapema sana halafu ni dhambi vilevile kukata tamaa. Jaribu kutafuta sponsor japo huwa ni ngumu ila kuna watu wanafanikiwa.jaribu ku-google DAAD na kama mkatoliki jaribu KAAD.
 
mimi ni mwanafunzi niliechaguliwa kuingia chuo kikuu cha ifm kuchukua degree lakini sina uwezo kwa sasa na hata mkopo sikubahatika kupata baba yangu alikwisha faliki miaka mingi liyopita na mama yangu amepunguzwa kwenye ajira yake hivyo nilikuwa nnapenda kuchukua fulsa hii kuomba msaada wa mawazo na pia ajira kama nitafanikiwa kupata kwa kweli na kama ikiwezekana jioni baada ya vipindi vyangu au au hata cku amabzo nakuwa sina vipindi ili niweze kujisaidia na kujisongesha na maisha yangu nashukuru kwa kunisikiliza[/QUOTE]

Pole sana dada ila usikate tamaa utafanikiwa tu. siku nyingine unapo post ujumbe wako hasa unaohusu kusaidiwa kibarua cha kazi uwe makini kuandika na kutumia aina za maneno ni haya tu makutakia mafanikio mema.
 
mimi ni mwanafunzi niliechaguliwa kuingia chuo kikuu cha ifm kuchukua degree lakini sina uwezo kwa sasa na hata mkopo sikubahatika kupata baba yangu alikwisha faliki miaka mingi liyopita na mama yangu amepunguzwa kwenye ajira yake hivyo nilikuwa nnapenda kuchukua fulsa hii kuomba msaada wa mawazo na pia ajira kama nitafanikiwa kupata kwa kweli na kama ikiwezekana jioni baada ya vipindi vyangu au au hata cku amabzo nakuwa sina vipindi ili niweze kujisaidia na kujisongesha na maisha yangu nashukuru kwa kunisikiliza[/QUOTE]

Pole sana dada ila usikate tamaa utafanikiwa tu. siku nyingine unapo post ujumbe wako hasa unaohusu kusaidiwa kibarua cha kazi uwe makini kuandika na kutumia aina za maneno ni haya tu makutakia mafanikio mema.


Show sympathy even fora second in yo life.
 
IFM ni chuo kikuu? mi nipo mbali kidogo mnijuze. huyo kakosa mkopo na vigezo anavyo. utashangaa hapo mtoto wa kigogo fisadi kapata mkopo. TZ bhana. Dogo inaonekana uchaguzi wa course nao umekugharimu ungeomba teaching faster mkopo.
 
huyo kaka ambaye anasema kuhusu vyuo kwakweli hajapata kufahamu kuwa maisha yanabadilika kwa sekunde mimi mamangu alikuwa anafanya kazi nzuri 2 na wala ckutegemea kwamba ningeshndwa kusomeshwa ila jambo lililotokea linaweza kumtokea m2 mwngne yyte yule maisha ku fall kwa saa moja 2 mimi niliambiwa na mama yangu kipind alipokuwa kazin kuwa nikichague hko chuo sababu ckutegemea leo au ksho ataondolewa kazin ila wakt nimesha apply na matokeo yametoka bac nkakuta hvyo ktk kujaribu walikataa kunibadilishia chuo kabxa ndo mana
 
nakushauri ukate rufaa bodi ya mikopo ila lazma uwe na viambatanishi vyote vinavohucka kukutetea Kwa mfano cheti cha kifo cha baba yako,nina uhakika utapata mkopo trust me
 
Pole sana dada Neema hakika inasikitisha lakini usikate tamaa. Ushauri wangu kataa rufaa bodi ya mikopo hiyo Tarehe 1 Oktoba na kama rufaa yako imekataliwa usiende chuoni kufanya chochote. Subiri mwaka mwingine uombe tena chuo na mkopo na hakikisha kozi unayoomba ina Priority. Pia ambatanisha na vielelezo vyote. Pia unaweza ukani PM kujua shughuli yako kwa sasa kama itawezekana nikutafuta japo kijiajira kwa mwaka huu.
 
nashukuruni ndugu zangu kwa hilo mbarikiwe xana 2 kwa mawazo yenu pevu kwa kweli be blessed ntafanya hvyo naiman kuwa nkikata rufaa yaweza kuwa ni moja ya njia yangu kutoka ! 10x
 
lakini nlitaka kujua kukata kwangu rufaa je nasikia tetesi kuwa unatakiwa ukakate katika chuo unachosoma yaan kuna loan officer cjui? na pia kwa anayejua kuhusu kukata rufaa ningeomba kujua matokeo yao huwa yanatokaga kipindi gani au mda gani kutoka?
 
matokeo ya appeal kwa mwaka jana hakuna alyepata hata mmja kwa wale no loan bt waliongezewa wenye mikp midgo xo cjajua kwa ds yr afu ifm dada bla pexa nalo n tatzo xana dada yangu bt jaribu kumwambia mama akope kwenye sacos za kina mama ndo ss wengne 2nasomeshwa na m nasma ifm naingia secnd yr kwa mikopo anayokopa ma mum xo jarbu fanya hvyo bt kuhcu ku apeal am nt sure god be with u neema
 
matokeo ya appeal kwa mwaka jana hakuna alyepata hata mmja kwa wale no loan bt waliongezewa wenye mikp midgo xo cjajua kwa ds yr afu ifm dada bla pexa nalo n tatzo xana dada yangu bt jaribu kumwambia mama akope kwenye sacos za kina mama ndo ss wengne 2nasomeshwa na m nasma ifm naingia secnd yr kwa mikopo anayokopa ma mum xo jarbu fanya hvyo bt kuhcu ku apeal am nt sure god be with u neema kuhusu majbu ya apeal n lazma uwe admited uwe na regstration namba na hayo yote inabd uwe umelpa ada kwa ifm tena yote 1m and 45 elfu yan 60% ya ada afu hyo chance ya ku apeal hutokea baada ya kuanza chuo nd majbu huchukua mda km miez 2
 
nashukuruni ndugu zangu kwa hilo mbarikiwe xana 2 kwa mawazo yenu pevu kwa kweli be blessed ntafanya hvyo naiman kuwa nkikata rufaa yaweza kuwa ni moja ya njia yangu kutoka ! 10x

Dada yangu Jamii Forums ina watu wa kila aina:- Wazito, wasomi na wasio wasomi.

Lugha ya kihuni unayotumia inaweza kukukosesha msaada unaohitaji.

Mfano kwa Waziri au Mkurugenzi atakayeona uzi huu hata kama alikuwa na nia ya kukusaidia anaweza kutofanya hivyo kutoka na Lugha ya dharau uliyotumia kwa kufikiri kuwa watu wote humu ndani ni watoto kama wewe na wana kiwango cha Elimu kama chako.

Vile vile kuna watu wana Elimu ya darasa la saba humu na wanauwezo wa kukusaidia lakini unafikiri ukiandika hiyo lugha yako kama neno hili "10x" watakuelewa?

Unapohitaji msaada jaribu kutumia Busara katika lugha.

Jirekebishe, binafsi ningekuwa na uwezo wa kukusaidia nisingefanya hivyo kutokana na Lugha ya Kihuni uliyotumia.

Kumbuka:- inawezekana siko peke yangu niliyekerwa na hili; kwa hiyo yawezekana umekosa msaada kutokana na lugha uliyotumia.

Ushauri: Jaribu kuhariri
 
Back
Top Bottom