Hana mpango wowote.! uzuri wa mtu siku zote subiri mwisho wake., Halima na wale wenzake walikuwa nyoka ambao wakiitafuna chadema miaka nenda miaka rudi, kama aliweza kukisaliti chama katika level yake aliyokuwa physically basi ujuwe ndio kiwango cha unafiki aliokuwa nao huko ndani ya chadema muda wote.Ni kweli Halima alifanya kosa na ni bayana alifanya hivyo kwa kutanguliza tamaa ya Pesa mbele,
kila mtu anatamaa ya Pesa
Sawa Kamati Kuu imeamua kuwavua uanachama na nimeona watu wengi wakimsimanga halima,
Tusimhukumu mtu kwa kosa moja hebu tuangalie ni mangapi amefanya mema
Halima na wenzako mlichokifanya, mpaka sasa sijajua Halima umepatwa na nini dadaangu?
Lakini sawa tu siku hazilingani,
Nawasihi wanachadema tusimnange sana Halima
Nimeumia sana kumpoteza Halima CHADEMA, lakini sitathubutu kukulaumu kwani ni mambo mengi sana umefanya kukijenga chama
Umekua nasi bega kwa bega mpaka siku ya jana
Usifadhaike sana CHADEMA tunakupenda sana Halima
Hata kwenye mazungumzo ya Mbowe alionyesha ameumia sana
we love you
Kama wampenda halima kama halima nenda kapose kwao., Lakini halima kama mwanasiasa ni mnafiki muda mrefu sana, kigogo alishaandika mara nyingi kwenye twitter yk.,