dogo kubwa
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 791
- 695
Aisee
Sawa ukiamua kuishia hapo. Lakini swali lipo hapo; Je? hiyo energy ina akili. Je? iko na Malengo kusudi? Je inajiendesha na kuendesha?Mungu ni energy' energy can not be created no destroy
Asante Nyamaume, umemaliza.Zaburi 95:3
Kivipi ss? mtandao unanchanganya ujue. alafu sio mtandao ni nyinyi na habari zenu zisizothibitika.Mungu ni energy' energy can not be created no destroy
Ukisema ina malengo na akili tayari ushaonyesha lower level za maumbile,hizo ulizotaja ni sifa za maumbile ya nje ambazo ni kiwango cha chini sna,malengo hayawezi kuleta vitu viwe kwenye balance,ndo maana unaweza kujiuliza kama ana malengo mazuri kwa nn alimuumba Shetan au kwann tunateseka? Malengo akili na sifa nyingne haviwezi fanya vitu viwe kwenye Balance hizo ni sifa za maumbile ya nje tu.Sawa ukiamua kuishia hapo. Lakini swali lipo hapo; Je? hiyo energy ina akili. Je? iko na Malengo kusudi? Je inajiendesha na kuendesha?
Mi niliishia kwamba Yeye ni entity fulani iliyo kama idea na inayotokeza ideas zinazocontrol energies inayocontrol matter etc etc
Dini inavyomweleza ndo inakosa uthibitisho inavitu vingi ni story tu za kale, hadithi za sungura na fisi ila ukweli wa mambo upo Kwenye universe memoryKivipi ss? mtandao unanchanganya ujue. alafu sio mtandao ni nyinyi na habari zenu zisizothibitika.
Ukisema ni kitu fulani kilicho nje kinacho control kutokea nje tayari ushaenda kwenye kiwango cha chini cha maumbile ya nje ,akili yako inakulazisha ku note kama mfalme fulani alie keti sehemu moja anaongoza kwa njee tu,apo tayari ushapunguza sifa yake kuwepo kila mahali,hiyo supernatural power kila sekunde na kila mda inaendelea na kazi zake za kuumba na kubance nature ili maisha yaendelee.Sawa ukiamua kuishia hapo. Lakini swali lipo hapo; Je? hiyo energy ina akili. Je? iko na Malengo kusudi? Je inajiendesha na kuendesha?
Mi niliishia kwamba Yeye ni entity fulani iliyo kama idea na inayotokeza ideas zinazocontrol energies inayocontrol matter etc etc
Vitabu vya din vingekua vimeeleza ukweli leo hii habari ya kudhibitisha MUNGU yupo isingekua stori humu ,vimepotosha ukwel kabisa ili uwe unamtafuta Mungu mahali fulani wataki tayari yupo ndani yako na kwa kila kitu na kila sehemu , ili utawalike kirahisiKivipi ss? mtandao unanchanganya ujue. alafu sio mtandao ni nyinyi na habari zenu zisizothibitika.
Ni kwamba ina malengo na ndio lengo jenyewe na kila kitu ni lengo, ina akili na ndio akili yenyewe na kila kitu ni akili, ina wazo na ndio wazo jenyewe na kila kitu ni wazo, au hiyo yako ya energy tutasema ina energy na ndio energy yenyewe.Ukisema ina malengo na akili tayari ushaonyesha lower level za maumbile,hizo ulizotaja ni sifa za maumbile ya nje ambazo ni kiwango cha chini sna,malengo hayawezi kuleta vitu viwe kwenye balance,ndo maana unaweza kujiuliza kama ana malengo mazuri kwa nn alimuumba Shetan au kwann tunateseka? Malengo akili na sifa nyingne haviwezi fanya vitu viwe kwenye Balance hizo ni sifa za maumbile ya nje tu.
Asante jibu langu nimelipata.Energy huwa na intelligence yake ambayo huwa above akili na uelewa ,coz akili na uelewa unaupata tu Kwenye mazingira yanayokuzunguka.
Hiyo Hiyo energy ikishachange Kwenye form nyingne tena ndo inazaa uelwaa,akili, busara ,hekima na maarifa yeyote unayoyaona na usiyo yaona,na hizo unazo ita idea,idea haiwezi kuwa manifested in physical form kama ndan yake Hiyo idea hakuna energy, Energy ndo the last creater wa maumbile yote yanayoonekana nayasiyo onekana.Asante jibu langu nimelipata.
Hii kitu utaijua tu ukiwa true seeker wa meditation of light and sound , hiyo elimu yote ipo Kwenye unirversal memoryAsante jibu langu nimelipata.
Universal memory.! U mean Akashik record.?Hii kitu utaijua tu ukiwa true seeker wa meditation of light and sound , hiyo elimu yote ipo Kwenye unirversal memory
Na energy hyo huwa na frequency zake tofauti kulingana na maumbile husika na sababu maalumu ila zote huwa Kwenye Balance ili kuleta uwiano sahihi Kwenye hayo maumbile.Hii kitu utaijua tu ukiwa true seeker wa meditation of light and sound , hiyo elimu yote ipo Kwenye unirversal memory
Na energy hyo huwa na frequency zake tofauti kulingana na maumbile husika na sababu maalumu ila zote huwa Kwenye Balance ili kuleta uwiano sahihi Kwenye hayo maumbile.
Ndicho ninacho maanisha ila kwenye akashik record kuna past,present and future ila kwenye universal memory hakuna future kuna sasa , coz future ina pimwa na time na time ni illusion tu.( man made kulingana na majira)Universal memory.! U mean Akashik record.?
Future ni illusion tu, ukisema mwakani nitanunua Gar ni illusion , gari unanunua unapo nunua gari sasa.Seems it has consciousness, kama inaweza kubalance vitu
Very craziness state.! Unapokuwa hivyo ni rahisi kuonekana una matatizo fulani ya akiliFuture ni illusion tu, ukisema mwakani nitanunua Gar ni illusion , gari unanunua unapo nunua gari sasa.
Pia ni bora kuudanganya ubongo ili uishi kwa maigizo tu , sex ni kwaajili ya kuzaliana tu , uwo utamu unao hisi Kwenye sex ni illusion tu, ipo Kwenye ubongo zaidi ndo maana ukiwa unasex akikuambia nameza ARV utamu wote kwisha, sex kwa ajil ya kuzaliana utamu unao kichwani .Very craziness state.! Unapokuwa hivyo ni rahisi kuonekana una matatizo fulani ya akili
Kuishi katika hali hiyo ni kuwa mfu/hai sijui kitaalam inaitwajwe hii