Mimi ni mwalimu wa Biology na Chemistry ngazi ya Diploma ya elimu ya sekondari kutoka Chuo cha Ualimu Klerruu-Iringa.
Pia nina ujuzi wa ICT in education. Ni mwalimu ujuzi na uzoefu wa kutosha.
Natafuta kazi ya kufundisha masomo tajwa hapo juu na ICT. Kwa anayetamani nifanye nae kazi ili kufahamu zaidi weledi wangu na uwezo wangu wa kutenda kazi, karibu PM.
Pia nina ujuzi wa ICT in education. Ni mwalimu ujuzi na uzoefu wa kutosha.
Natafuta kazi ya kufundisha masomo tajwa hapo juu na ICT. Kwa anayetamani nifanye nae kazi ili kufahamu zaidi weledi wangu na uwezo wangu wa kutenda kazi, karibu PM.