Mimi ni mwalimu, nawezaje kujiendeleza kielimu?

Madam Shakila

Member
May 21, 2022
10
6
Jamani mimi ni mwalimu katika shule X iliopo mkoa Y.

Ninahitaji kujiendeleza kielimu kuchukua diploma lakini naingia kwenye mfumo wa Wizara ya elimu "tcm.moe.go.tz" siwaelewi.

Kwanza wameweka limitation ya mwaka mimi niliajiriwa kitambo kidogo na wenyewe wanataka mtu awe amemaliza kidato cha nne 2016.

Sasa rudisheni watu waombe kupitia nacte mfumo huu siuelewi. Na wengine wengi hawaujui uko kisirisiri sana serikali irudishe maombi hayo nacte isijikite katika kukusanya Mapato
 
Jamani mimi ni mwalimu katika shule X iliopo mkoa Y.

Ninahitaji kujiendeleza kielimu kuchukua diploma lakini naingia kwenye mfumo wa Wizara ya elimu "tcm.moe.go.tz" siwaelewi.

Kwanza wameweka limitation ya mwaka mimi niliajiriwa kitambo kidogo na wenyewe wanataka mtu awe amemaliza kidato cha nne 2016.

Sasa rudisheni watu waombe kupitia nacte mfumo huu siuelewi. Na wengine wengi hawaujui uko kisirisiri sana serikali irudishe maombi hayo nacte isijikite katika kukusanya Mapato
Kimya
 
Kuna ulazima usome kwenye vyuo vya serkali ambavyo wameweka limitations hizo,

Cha kushauri tafuta chuo cha private unachoweza mudu gharama zake then kasome!
 
Niwe afisa elimu kata
Omba vyuo binafsi ukasome Madam Shakila. Halafu tuwasiliane haraka ili nikupitishie hiyo barua yako. Usiseme hunifahamu! Mimi ni DSEO wako.

Si unakumbuka ni wiki chache tu nilikuja hapo shuleni kwenu kuwahamasisha walimu wenye Astashahada kama wewe kwenda kujiendeleza? Tuko pamoja Mwalimu.
 
Omba vyuo binafsi ukasome Madam Shakila. Halafu tuwasiliane haraka ili nikupitishie hiyo barua yako. Usiseme hunifahamu! Mimi ni DSEO wako.

Si unakumbuka ni wiki chache tu nilikuja hapo shuleni kwenu kuwahamasisha walimu wenye Astashahada kama wewe kwenda kujiendeleza? Tuko pamoja Mwalimu.
Nataja vyuo vya serikali mkuu
 
Jamani mimi ni mwalimu katika shule X iliopo mkoa Y.

Ninahitaji kujiendeleza kielimu kuchukua diploma lakini naingia kwenye mfumo wa Wizara ya elimu "tcm.moe.go.tz" siwaelewi.

Kwanza wameweka limitation ya mwaka mimi niliajiriwa kitambo kidogo na wenyewe wanataka mtu awe amemaliza kidato cha nne 2016.

Sasa rudisheni watu waombe kupitia nacte mfumo huu siuelewi. Na wengine wengi hawaujui uko kisirisiri sana serikali irudishe maombi hayo nacte isijikite katika kukusanya Mapato
angalia nime ku-PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom