Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Nilikuwa SS..... Ndio nimerudi TZ full time ndio maana unaniona sasaUlipotelea wapi kwani? Au basi tulikuwa tunapishana kwenye majukwa..!?
Nimekumiss pia mtu wangu
Nilikuwa SS..... Ndio nimerudi TZ full time ndio maana unaniona sasaUlipotelea wapi kwani? Au basi tulikuwa tunapishana kwenye majukwa..!?
Nimekumiss pia mtu wangu
ahahaa osha vyombo hapo hapo ukimaliza kulaHahaha naic utakua unanisema mm japo naic n vya majuzi Nina uvivu wa mwendokas japo mambo mengine niko poa
Sent from mTalk
Kama mimi
Nachoweza kufanya ni kuchat,games,mziki,kula na movies tu
usichecke mkuuU made my day aisee mpaka mkoloni kaja kuangalia nacheka nini..............
asilimia 90% ya wadada wanaoishi wenyewe kwao kuchafu kunakuwa kusafi wkend tu labda awe na dada wa kaziKuna bidada nilipanga nae mahal flan mi nikiwa chuo yeye alikuwa ameajiriwa aise huyu dada alikuwa mchafu lakin akitoka perfume alvyopiga makeup
Kuna siku akaniomba nimrekebishie Tv yake nilivyoingia ndan tu nilipiga chafy vingin ni aibu kwa mwanamke na nilikuwa namtaman nilivyo onavile hisia zilikata
Kama mazingira machafu na kunako Je!!asilimia 90% ya wadada wanaoishi wenyewe kwao kuchafu kunakuwa kusafi wkend tu labda awe na dada wa kazi
wanainvest kwenye mwili maana ndo mtajiKama mazingira machafu na kunako Je!!
Hahaha naic utakua unanisema mm japo naic n vya majuzi Nina uvivu wa mwendokas japo mambo mengine niko poa
Sent from mTalk
Sa kumi na moja alfajiri niko macho. Iwe jumatatu au jumapili... Mwili ushaji-tune hivyo.
hali hio hata mi ninayo na imeniathiri kwa sababu ni last born ila kuhusu time nimejifunza kama natakiwa kufika sehemu saa 2 nitajitahidi niweke alam ya saa kumi na mbili kasoro itani disturb alarm mpaka saa moja kasoro nitaamka na nitawahi niendako kuhusu kuvaa nguo na kuvaa nina tatizo hilo pia so huwa naaandaa jana yake kabisaa baada ya kuridhika na chaguo lake hii inasaidia kuokoa muda
Yaani hata mi nmechoka asee....Wadau nina shida moja katika maisha yangu. Mimi ni mvivu halafu huwa natake easy kila kitu, kitu ambacho kinanisababishia hasara nyingi maishani.
Kuhusu darasani nina akili za kutosha toka primary top ten ilikuwa hainikosi hata chuo sikuwahi kupata supp, hata kuna wakati somo moja lililamba robo tatu ya darasa, tena nilikuwa nimelazwa, nikatoka hospitali asubuhi nikaingia saa tisa kwenye paper nikapata zangu B. Niliosoma nao humu wanaweza kunikumbuka.
Sasa tatizo linakuja kwenye maisha, mimi ni mvivu. Kuamka nitashtuka tu saa kumi na moja najiongeza kidogo kidogo hadi inafika saa moja najiandaa kivivuvivu hivo hivo. Mara nivae nguo hii mara nione sijapendeza nivue hadi saa mbili natoka nduki kwenda job maana sio mbali, kwahiyo hapo naacha chumba kikiwa rafu maana muda wa kupanga na kutandika kitanda unakuwa hamna hadi nirudi jioni.
Nikialikwa kwenye party najiandaa kivivu hadi wakati mwingine naacha tu maana muda unakuwa hamna tena sherehe imeisha.
Nikienda benk sihesabu hela, jana nimeibiwa elf 10 duka la kubadilishia fedha maana sikuhesabu, kwenye daladala nilipewa hela feki hivi hivi maana hata sikuangalia.
Naombeni ushauri nifanyeje maana mimi mtu mzima nahitaji kuwa na familia na kuwa mama bora. Ndio maana nilitamani kuadopt mtoto ili niwe busy nae, haya maisha ya kuishi peke yangu yananilemaza jamani nifanyeje?
Natamani kuwa active. Hapa nimeandika hivi nimechoka kweli yaani.
omerta wengi tu tupo hivo humu.hata walioolewa ni hivo hivo sema wanabebwa na mabeki tatuAisee, nadhani sasa hili litangazwe ni tatizo la kitaifa sasa..... Bora wewe umeshajua namna ya kukabiliana nalo.
WHO wameshasema u single ni disability. Au hujaskia,?
Jitafutie kidume huku ukule maisha mkuu.
Utaona medi nyamalii kabisa sheeeeh
ukiweka morning glory utaamka tena kweli?Unatoka kwa bed kabisa au unagawa morning Glory kwa Braza?