Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 745
- 633
Wadau,
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24,ni mfanya biashara ya dawa asilia(herbs).
Naombeni wadau kama kuna Mkenya yeyote ana miliki lab ya kutengeneza vidonge(pills) kwa dawa hizi,ama mtu mwingine yeyote Nairobi anayefahamu wapi zinahitajika,ani pm ili tusaidiane kwa hili.
Ninazo dawa za maradhi ya aina mbalimbali na zimesagwa kuwa unga laini kabisa.
Mawasiliano,
+255 759 947 397
email;sainthussein@hotmail.com
Nawasilisha,
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24,ni mfanya biashara ya dawa asilia(herbs).
Naombeni wadau kama kuna Mkenya yeyote ana miliki lab ya kutengeneza vidonge(pills) kwa dawa hizi,ama mtu mwingine yeyote Nairobi anayefahamu wapi zinahitajika,ani pm ili tusaidiane kwa hili.
Ninazo dawa za maradhi ya aina mbalimbali na zimesagwa kuwa unga laini kabisa.
Mawasiliano,
+255 759 947 397
email;sainthussein@hotmail.com
Nawasilisha,