MASIKIN JEURI
Senior Member
- Jan 31, 2013
- 134
- 22
Haya niyangu kutoka kumtima wange, Wazanzibari kwa dharau wanatuita wa bara au Tanzania bara. hawa watu tunawapa umeme buree, tunabembeleza muungano kwa gharama nyingi sana, wazanzibar wana serikari yao ya mapinduzi, inayotunga sheria zao, budget yao, na mambo lukuki kwa faida yao, afu wanataka fikra za serikali yao tuzi adopt wa Tanganyika kwa manufaa yao na machache ya Tanganyika. tumeng'ang'ania muungano eti kwa sababu za kiusalama, nikitu cha kushangaza. bona hatujaungana na Kenya, Rwanda Msumbiji, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, Unganda na tunaendelea na mwendo mdundo. kama ikitokea fyokofyok si tunajeshi, sasa wuoga wa nini? kama Muungano hamtaki ujifie mbali serikali tatu ni suluhisho la kelo hizi. Serikali ya Muungano inaweza ikafanywa kuwa serikali ndogo tu, kama serikali ya wawakilishi ya watu wachache kutoka Tanganyika na watu kutoka Zanzibar. mchezo unaisha.
Nawasilisha
Nawasilisha