Mimi ni msichana nina miaka 23,natafuta kazi yoyote halali

BlackBella

Member
Aug 10, 2012
28
10
Ndugu marafiki zangu hapa jamii mimi ni msichana,nina miaka 23,kwasasa nipo DAR,nimejitokeza hapa, NATAFUTA KAZI,NIMEITIMU CERTIFICATE YA COMMUNITY DEVELOPMENT GENDER AND CHILDREN,kutokana na hali ngumu ya Ajira,Nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,namba yangu ya simu ni 0755 08 47 15,ahsanteni marafiki zangu,naamini kupitia nyinyi NITAFANIKIWA KUPATA KAZI.
 
Aiseee..certificate ya community development. ..form 4 yako ikoje matokeo
 
Wakuu mpeni kazi huyo atakuwa na Computer Literacy ambayo inaweza msaidia kufanyia kazi kama katibu mhutasi au Office Administrator..
 
Wakuu mpeni kazi huyo atakuwa na Computer Literacy ambayo inaweza msaidia kufanyia kazi kama katibu mhutasi au Office Administrator..

Kumbe katibu mhutasi (if its correct) na Office Administrator ni cheo cha computer literate pengne na certificate tu? just questioning!
 
Ndugu marafiki zangu hapa jamii mimi ni msichana,nina miaka 23,kwasasa nipo DAR,nimejitokeza hapa, NATAFUTA KAZI,NIMEITIMU CERTIFICATE YA COMMUNITY DEVELOPMENT GENDER AND CHILDREN,kutokana na hali ngumu ya Ajira,Nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,namba yangu ya simu ni 0755 08 47 15,ahsanteni marafiki zangu,naamini kupitia nyinyi NITAFANIKIWA KUPATA KAZI.
wadau fursa hii changamkieni
 
Napangisha nyumba kigogo mwisho upande gari unalaza ndani upande uliokamilika contact 0715 877933
 
Ulaya ndio ilivyo, sio secretary bali anakuwa office admin

hayo peleka ulaya ukisema huku unatuchanganya secretary na administrator ni tofauti kabisa ...kwaio ukienda ofcn ukiwa na shida na secretary utasema unamuhitaji administrator au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom