Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,746
Utakuwa umekariri tu!
Kitu kutoka Pemba ankali😘🥰😍🤗
Yanayo.Uislamu Umefafanua Kwa Mapana Sana Kuhusu Kila Kitu Mpaka Mapenz Jinsi Ya Kukaa na mume kuridhishana,Jinsi Ya Kuishi Kwenye Ndoa Na Kila kitu Uislamu Umeeleza Kwa Hyo Mabinti wa Kiislamu Wanafundishwa Akibahatika Kusoma Dini Na Kuweka Social Believe Pemben Kwan Jamii Huona wanawake wanaojua Mapenzi Ni Kama Malaya La Hasha.Mkuu, mapenzi hayana uhusiano wowote na dini
Hahahah.Hajamaanisha hivo.Katika Uislam Nadhan Na Kwenye din Zote tu tumekatazwa Kutaja Aibu Za Mwenza kwa Hiyo Kama Unaelewa Kwel Huwez Taja Aibu Za Mwenzako.Siko Kudhihak Deen Yyte But To Be Honest Waislam Wengi Wao Wako serious Na Deen Na Mafunzo That why Hata alivosema Upande wa Pili Huwa Wanalalamikia vibamia Maybe Ni true Lakn Sina Hakika.Pia Mbal Na Dini Sisi Ni watu tunaweza Fanya Lolote tukiwa Katika Dini Yyte.But Hakuna Dini Ilofundisha Mambo MabayaUnamaanisha wanawake wa upande wa pili wanamabwawa?
Point yako kubwa nikusilim. Mnamentality za ajabu..Silim umuoe
He hao wasanii wanamaaduli ya kiisilamu au no waisilamu jina????Wapo wasichana wengi tu wa kiislam ambao wana mtoto zaidi ya mmoja na baba tofauti na ni single mother. Anzia kwa wasanii wetu wa bongo hlf rudi mtaani
Ukomae km huyo
Kwan hapa mada inawahusu waislam jina au wenye dini ya kiislam na kikristo?He hao wasanii wanamaaduli ya kiisilamu au no waisilamu jina????
Afadhari umemkonya penyewe, wanataka kusifiwa afu madhaifu yao hawakubali kuambiwa.Kwan hapa mada inawahusu waislam jina au wenye dini ya kiislam na kikristo?
Anhh, ila hawa akina Aisha sijui wana shida gani?Yanayo.Uislamu Umefafanua Kwa Mapana Sana Kuhusu Kila Kitu Mpaka Mapenz Jinsi Ya Kukaa na mume kuridhishana,Jinsi Ya Kuishi Kwenye Ndoa Na Kila kitu Uislamu Umeeleza Kwa Hyo Mabinti wa Kiislamu Wanafundishwa Akibahatika Kusoma Dini Na Kuweka Social Believe Pemben Kwan Jamii Huona wanawake wanaojua Mapenzi Ni Kama Malaya La Hasha.
Kwanini umemua kuwa mpagani mkuu???Nilizaliwa na kukulia ndani ya Ukristo ila kwa sasa mimi ni mpagani.
Mabinti hao kwa kweli nami nawakubali sana hasa kwa kauli zao na katika uvaaji wao pia.
KUMAMAKE! UMEPATA VYOTE! MPAKA CHURA HAPO
hainaga formulaNaona watu mmeshindwa kumwelewa mwenye uzi wake.
Nijazie tu kwamba ukikuta mwanamke wa kiislamu dini imemkolea basi jua hiyo ni mwanamke kweli.
Kwajweli ukichukua mwanamke wa kiislamu na wa kimkristo; mwisilamu ana unafuu zaidi.
Kwamfano ukiangalia single maza asilimia kubwa ni wakristo. Mtanisamehe kwa hili.