Mimi ni mfuasi mtiifu wa United States of America lakini naisikitikia Afghanistan

falcon mombasa

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
9,158
9,239
Habari za siku nyingi
Hakika tumepata kujionea kilichotokea na kinachoendelea kutokea kwenye ardhi ya Afghan

Kwa hali ilivyo pale asia ya kati ni dhahiri sasa tujiandae kushuhudia matukio makubwa ya ugaidi zaidi pengine kuliko hata ilivyowahi kutokea

Taliban wao walipokuwa wanapigana kuichukua tena ardhi ya Afghan walikuwa wanashirikiana vikundi washirika vya kigaidi au vya kimujahedeen kufika malengo yao

Sasa Taliban imepata ilichokuwa inakitaka na ndio kipindi hiki hiki ambacho Taliban wanataka kuudhihirishia ulimwengu kuwa wao sio magaidi kama dunia ilivyoamini

Swali je Taliban itajiweka upande upi ambao vikundi washirika wake wataridhika na mamlaka mapya ya Taliban

Tumeona Taliban imefungulia magereza yote yaliyokuwa na wafungwa wa ugaidi

Je Taliban itaweza vp kuzuia watu Hawa wasifanye ugaidi

Je Taliban itakubali kugawana maslah na vikund vingine vya kimujahedeen na Kama alshabab ambapo kwenye uso wa dunia Taliban inajaribu kutuonyesha wao ni malaika


Nasisitiza marekani haijashindwa kuzuia Taliban marekani imeamua kuudhihirishia ulimwengu umuhimu wa demokrasia kwa kuachia waafghan kufanya wanachokitaka

Karibuni

Nimewamiss sana karibu miaka miwili mitatu hii nimekuwa kimya sana jamiiforums
 
Habari za siku nyingi
Hakika tumepata kujionea kilichotokea na kinachoendelea kutokea kwenye ardhi ya Afghan

Kwa hali ilivyo pale asia ya kati ni dhahiri sasa tujiandae kushuhudia matukio makubwa ya ugaidi zaidi pengine kuliko hata ilivyowahi kutokea

Taliban wao walipokuwa wanapigana kuichukua tena ardhi ya Afghan walikuwa wanashirikiana vikundi washirika vya kigaidi au vya kimujahedeen kufika malengo yao

Sasa Taliban imepata ilichokuwa inakitaka na ndio kipindi hiki hiki ambacho Taliban wanataka kuudhihirishia ulimwengu kuwa wao sio magaidi kama dunia ilivyoamini

Swali je Taliban itajiweka upande upi ambao vikundi washirika wake wataridhika na mamlaka mapya ya Taliban

Tumeona Taliban imefungulia magereza yote yaliyokuwa na wafungwa wa ugaidi

Je Taliban itaweza vp kuzuia watu Hawa wasifanye ugaidi

Je Taliban itakubali kugawana maslah na vikund vingine vya kimujahedeen na Kama alshabab ambapo kwenye uso wa dunia Taliban inajaribu kutuonyesha wao ni malaika


Nasisitiza marekani haijashindwa kuzuia Taliban marekani imeamua kuudhihirishia ulimwengu umuhimu wa demokrasia kwa kuachia waafghan kufanya wanachokitaka

Karibuni

Nimewamiss sana karibu miaka miwili mitatu hii nimekuwa kimya sana jamiiforums
Hakuna kumung'unya maneno hapa ni wazi kilichotokea Saigon(Vietnam) hakina tofauti na kilichotokea Kabul.Taliban wamepambana kufa na kupona na jeshi lenye siraha za kila aina ila kwa sababu ya ujasiri waliokuwa nao,wameweza kuwashinda maadui zao.

Miaka 20 wapo Vitani leo hii waseme wameamua kuachia demokrasia,si maneno ya mfa maji hayo
IMG_20210816_191045.jpg
 
GAIDI MKUBWA ni yule aliyejihalalisha kuvamia AFGHANISTAN miaka ishirini zilizopita...
Usitie shaka maAfghan watajitawala kwa namna yao ,kw siasa na mila zao, kwa itikadi na Imani zao !!
Nasikitika kuwa hadi sasa waMarekani hawajajifunza Lesson (somo la kuingilia mataifa huru) na Failures zao zinadhihirisha Ugaidi mamboleo!!
 
Hakuna kumung'unya maneno hapa ni wazi kilichotokea Saigon(Vietnam) hakina tofauti na kilichotokea Kabul.Taliban wamepambana kufa na kupona na jeshi lenye siraha za kila aina ila kwa sababu ya ujasiri waliokuwa nao,wameweza kuwashinda maadui zao.

Miaka 20 wapo Vitani leo hii waseme wameamua kuachia demokrasia,si maneno ya mfa maji hayoView attachment 1894899
Kilichotokea Vietnam it's quit differ kufananisha na kabul

Vietnam war haikuwa na baraka toka nyumbani haikuwa na support toka us
 
falcon mombasa wewe ni great thinker. Umeongea ukweli wa Mungu.

Taliban huwezi kuwatenganisha na magaidi, maharamia ila kwa kuwa wanataja uislamu kuna watu wanawaona wa maana.

Wananchi wanadandia ndege ili kuwakimbia hawa magaidi halafu kuna jitu lipo BUZA KWA MPALANGE linajifanya linaijua sana dini lina support mateso ya waafghanistan.
 
Kumbe kuna watu wanaumizwa na mzee Mullah kujitwalia nchi yao,ulimwengu ilipofikia sasa ni kuongea kwa AK47,hii itawafanya wababe wa Dunia kubalance ubabe wao.
 
GAIDI MKUBWA ni yule aliyejihalslisha kuvamia AFGHANISTAN miaka ishirini zilizopita...
Usitie shaka maAfghan watajitawala kwa namna yao ,kw siasa na mila zao, kwa itikadi na Imani zao !!
Nasikitika kuwa hadi sasa waMarekani hawajajifunza Lesson (somo la kuingilia mataifa huru) na Failures zao zinadhihirisha Ugaidi mamboleo!!
Jamaa wamefungulia magereza nyingi zilizokuwa na watuhumiwa wa ugaidi,
Hakutakuwa na Amani
 
Habari za siku nyingi
Hakika tumepata kujionea kilichotokea na kinachoendelea kutokea kwenye ardhi ya Afghan

Kwa hali ilivyo pale asia ya kati ni dhahiri sasa tujiandae kushuhudia matukio makubwa ya ugaidi zaidi pengine kuliko hata ilivyowahi kutokea

Taliban wao walipokuwa wanapigana kuichukua tena ardhi ya Afghan walikuwa wanashirikiana vikundi washirika vya kigaidi au vya kimujahedeen kufika malengo yao

Sasa Taliban imepata ilichokuwa inakitaka na ndio kipindi hiki hiki ambacho Taliban wanataka kuudhihirishia ulimwengu kuwa wao sio magaidi kama dunia ilivyoamini

Swali je Taliban itajiweka upande upi ambao vikundi washirika wake wataridhika na mamlaka mapya ya Taliban

Tumeona Taliban imefungulia magereza yote yaliyokuwa na wafungwa wa ugaidi

Je Taliban itaweza vp kuzuia watu Hawa wasifanye ugaidi

Je Taliban itakubali kugawana maslah na vikund vingine vya kimujahedeen na Kama alshabab ambapo kwenye uso wa dunia Taliban inajaribu kutuonyesha wao ni malaika


Nasisitiza marekani haijashindwa kuzuia Taliban marekani imeamua kuudhihirishia ulimwengu umuhimu wa demokrasia kwa kuachia waafghan kufanya wanachokitaka

Karibuni

Nimewamiss sana karibu miaka miwili mitatu hii nimekuwa kimya sana jamiiforums
.mkuu Ulipoteaga wapi?
 
Ila kwa kuondoka Afghanistan watasave sasa hivi dollar billion 10 kwa siku. Biden mjanja.
 
Back
Top Bottom