Mimi ni M-Cute jamani si mwaniona mwenyewe nilivyopendeza!

Ki ukweli umependeza sana mama, wanaotaka chini c waangalie ile picha uliyopakatia laptop!
 
Kweli waego usoni na umbo we mcute, ingawa hatuna uhakika kama umefungasha hazina ya kutosha huko kwa-back.
 
1590543_buchi_jpegf832a384e9342ffbac972ba7df4ced02


Wenye wivu wajiyonge


CC:
Asprin, Mentor, Kaizer, KakaKiiza, Kiranga, Nyani Ngabu, Bujibuji, The Boss, mwekundu, mayenga, BAK, Ruttashobolwa, Arushaone, Mungi , Mr Rocky

Nimestuka kuona hii picha yaani moyo umefanya paaahhh!!!! maana imefanana na taswira yangu hasa wakati niko kwenye umri wa miaka 15-22 maana baada ya hapo nilinenepa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom