Yaani kweli wewe ni m-cute binamu yangu Zinduna
Mi nishakuona kote na naukubali uzuri wako usije waonyesha team bazazi akina Asprin, Kaizer, Nicas Mtei, Ntuzu, muuza ubuyu, mwekundu, KakaKiiza, uzuri wako maana watakimbizana kukutafuta
Wataka kusema mume wangu pia ni bazazi? Wacha mambo yako
Wataka kusema mume wangu pia ni bazazi? Wacha mambo yako
Khe hajakuambia kuwa na yeye ni bazazi
Hebu muulize kwa miss chagga alikuwa anatafuta nini na kwa yule mmasai pia Ntuzu hebu kuja hapa ukanushe kama marafiki zako sio mwekundu na Asprin na Kaizer na Nicas Mtei
hahahaaaaaaa!wenye uzoefu wanisaidie hiliMbona umejitoa nusu, au miguu ya kichaga nini?
Yaani kweli wewe ni m-cute binamu yangu Zinduna
Mi nishakuona kote na naukubali uzuri wako usije waonyesha team bazazi akina Asprin, Kaizer, Nicas Mtei, Ntuzu, muuza ubuyu, mwekundu, KakaKiiza, uzuri wako maana watakimbizana kukutafuta
komputa inafaidi hivi hivi lo!jamaniii